na Magreth Lazaro Mafie 🇹🇿 🏆 Shindano la Insha ya Methali 🥉 Mshindi wa Tatu
Siogopi jua wala mvua, nikiitengeneza kesho yangu
Siogopi maumivu Wala majeraha, maana yote ni ya muda
Jua kali na kazi ndiyo desturi yangu, ili kheri kuja maishani
Machinga,mkulima, makuli na mvuvi wao na jua, Ili kuitafuta kesho
Mchumia juani, hulia kivulini bado nakitafuta kivuli.
Ni mchana jua la utosi, kichwani nina mavuno, jasho linatiririka
Jua limezama Sasa kasia ufukweni, hoi kitandani, nyavu zi baharini
Nyumbani mtaa wa nne, nahodha wa familia surubu nivute kheri
Jua Sasa la chomoza, Kiguu na njia kulitafuta tonge
Mchumia juani, hulia kivulini bado nakitafuta kivuli.
Creative Commons Attribution (CC BY 4.0) na Magreth Lazaro Mafie Ilichapishwa na Maktaba.org Mchoro/Image: CC BY Maktaba.org
Better than never is late
“Bora kuliko kamwe ni kuchelewa
-The Canterbury Tales, The Canon's Yeoman's Tale
Lilatini: potiusque sero quam numquam
Bora kuchelewa kuliko kukosa kabisa
- History of Rome, Book 4
It's never too late
Hakuna kuchelewa
Don't close the gate after the horse has bolted.
Usifunge mlango baada ya farasi kukimbia
जब जाति तब सवेरे
Wakati wowote unapoamka, ndo asubuhi yako
Fikiria kama umechelewa Mahojiano ya Ajira. Ungefanyaje? Next time unapofikiri "Nimeshachelewa" jiambie "Bora kuchelewa kuliko kukosa kabisa." Kwa mfano makala hii ya Methali ya Siku ilichelewa, lakini sasa unaisoma - Asante!
Silaha za siku hizi ni kalamu na karatasi.
Today's weapons are pen and paper.
- Swahili proverb
You furnish the pictures and I'll furnish the war.
- William Randolph Hearst
(FRAGMENTS)
Watch carefully over thy mouth ...... and make thy heart slow(?), for the word spoken is like a bird, and he who utters it is like a man without ...
... the craft of the mouth is mightier than the craft of ......
For the word of God is quick, and powerful, and sharper than any two-edged sword.
Hebrews 4:12 (KJV)
Many wearing rapiers are afraid of goosequills.
-William Shakespeare Hamlet Act 2, scene II (page 59)
‘Anichaguaye mimi atakuwa amepata kile wanaume wengi wakitamanicho sana.’
‘Anichaguaye mimi apate astahilicho.’
‘Anichaguaye mimi itambidi atoe, na pia ahatarishe chochote alicho nacho.’
‘Anichaguaye mimi itambidid atoe na pia ahatarishe cho chote alicho nacho.’
‘Anichaguaye mimi apate astahilicho’.
‘Anichaguaye mimi atakuwa amepata kile wanaume wengi wakitamanicho sana!’
Kila kitu king’aacho usidhani ni dhahabu,
umekisikia hicho ni kiambo cha mababu.
Kuniona kwa nje tu, wengi wameuza utu;
Makaburi ya dhahabu yana mafunza ajabu.
Ungekuwa na werevu ulivyo na ushupavu,
kijana kiwiliwili na mzee kwa akili,
usingelistahili kulipewa jibu hili:
Basi buriani dawa; pposa umefarikiwa.
Matone madogo ya maji,
Chembe kidogo za mchanga,
hutengeneza bahari kubwa
Na ardhi ya kupendeza
Vivyo hivyo zile dakika ndogo,
ingawa ni ndogo,
hutengeneza enzi za milele.