Silaha za siku hizi ni kalamu na karatasi.
Today's weapons are pen and paper.
- Swahili proverb
You furnish the pictures and I'll furnish the war.
- William Randolph Hearst
(FRAGMENTS)
Watch carefully over thy mouth ...... and make thy heart slow(?), for the word spoken is like a bird, and he who utters it is like a man without ...
... the craft of the mouth is mightier than the craft of ......
For the word of God is quick, and powerful, and sharper than any two-edged sword.
Hebrews 4:12 (KJV)
Many wearing rapiers are afraid of goosequills.
-William Shakespeare Hamlet Act 2, scene II (page 59)
Bado tunayo hukumu hapa (duniani);
Tunafundisha tu umwagaji damu, ambayo, ukifundishwa, hurudi
ili lipiza kisasi na kumtesa mvumbuzi: mkono wa haki
huweka viungo vya kikombe chetu cha sumu
Kwa midomo yetu wenyewe. ( Makbeth Act I, Scene 7 )
Chochote apandacho mtu, ndicho atakachovuna ( Wagalatia 6:7 )
善有善報,惡有惡報
Wema hulipwa kwa wema, na ubaya kwa ubaya.
Wie man in den Wald hineinruft, so schallt es heraus
Unacholia msituni, kitasikika tena
Silaha za siku hizi ni kalamu na karatasi.
- Methali ya Kiswahili
"Ukinipa picha, nitakupa vita."
- William Randolph Hearst
(Mwandishi wa habari na mchapishaji wa magazeti, Marekani)
Dhibiti kinywa chako kwa uangalifu ...[ILIKATA]... na ufanye moyo wako kuwa mzito(?), kwa maana neno linalosemwa ni kama ndege, naye alitamkaye ni kama mtu asiye na ...[ILIKATA]... ufundi wa maneno una nguvu zaidi kuliko ufundi wa ...[ILIKATA]...
- Hadithi ya Ahikar, Ukurasa wa 171/274
Kwa maana neno la Mungu ni hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili.
Waebrania 4:12, Biblia
Wengi wanaovaa panga huogopa kalamu.
-William Shakespeare
Tamthilia ya Hamlet, Sehemu ya 2, Onyesho la II (ukurasa wa 59)
CC BY Unaruhusiwa kunakili & kusambaza mchoro huu na makala hii bila idhini, ukitaja tu chanzo (www.maktaba.org)