You need to login to view profiles OR to update your profile

Create a new account

New announcements
Discussions
Proverbs

Maisha yakikupa limao, tengeneza juis 🍋

Join
or login
to VOTE for Proverb of the Month
Votes
0
Updated 4mo ago
by
View this proverb in English
When life gives you lemons, make lemonade 🍋
"Maisha yakikupa limao, tengeneza juis" inamaanisha pale tunapokutana na changamoto, tunapaswa kujaribu kuzifanyia kazi  ili zibadilike kuwa fursa. Limao pekee ni chungu, lakini sukara na maji safi hugeuza limao chungu kuwa kinywaji kitamu cha kuburudisha. Maisha yanapoleta chungu na changamoto (limao), tunaweza kuwa wabunifu na wastahimilivu ili kubadilisha changamoto hizi kuwa fursa (juis).

Je, umewahi kubadilisha changamoto kuwa fursa?
Je! unajua misemo au mithani inayohusiana na kanuni hiyo hiyo?
Toeni maoni hapa chini!

Misemo inayohusiana kutoka kwa tamaduni mbalimbali:
Kizuizi cha hatua huendeleza hatua. Kinachosimama njiani kinakuwa njia.
- Tafakari za Marcus Aurelius (Roma ya Kale)

اِصْنَعْ شَرَابًا حَلُّوا مِنْ حَامِض لَيْمُون الْحَيَاةِ
Tengeneza kinywaji kitamu kutoka kwa asidi ya limau ya maisha.
-Methali ya Kiarabu 

जब भी जीवन में मुश्किलें आएँ तो उनका भी लाभ उठाएँ
Matatizo yanapotokea, tumia fursa hiyo pia. 
-Methali ya Kihindi

(Chanzo: Shukrani kwa Wiktionary)
Details Picha hii iliundwa kwa kutumia Akili Bandia. Unafikiriaje? Je, picha gani ingefafanua methali hii vyema?
Loading...
Loading...
Login to view and post comments
Siku moja, mfanyabiashara mashuhuri alitafuta msaidizi. Alipokea maombi na CV za watu wengi sana, lakini wawili tu walikidhi vigezo: Amina na Baraka. Ili kuamua kati yao, aliwaita wote wawili, na akawaalika waje kwaajili ya mahojiano ya ajira, kesho yake asubuhi. "Saa tatu kamili -- vaa mavazi ya kazi, na usichelewe!" Akawaonya.

Kesho yake Ali aliwahi kuamka, akavaa suti yake nzuri, na alipanda basi kijijini kwake saa 2. "Bora kinga kuliko tiba" alifikiria. Njiani kuelekea mjini, basi ilianza kutoa moshi. Abira wote walishuka na waliachwa porini. Hapo hapo mvua ilianza kunyesha. Kila basi lililompita, Ali akaomba nafasi, lakini, kutokana na hali ya hewa, mabasi yote yalikuwa yameshajaa. Kwa hivyo ikabidi atembee kwa miguu. Ilipotimia saa tatu, bado Ali alikuwa mbali na mji, na mvua ikawa kali zaidi na zaidi. "Lazima niendelee" akajiambia, "Bora kuchelewa kuliko kukosa kabisa."

Wakati huohuo mjini, Baraka aliamka ghorofani kwake, na akashtuka ghafla akiona jua lilikuwa limeshafika mbali angani. "Aisee! Niliweka alarm! Simu yangu ina shida gani sasa?" Alitazama saa ukutani: Saa tatu kamili. "Bora niache tu. Hata nikiondoka saivi, bado nitachelewa kufika. Si alisema usichelewe? Hatamwajiri aliyechelewa." Kwa hivyo Baraka, akiwa na huzuni, akalala tena.

Saa nne na nusu, hatimaye, Ali alifika ofisini kwa mfanyabiashara na kugonga mlango, suti yake ikichuruzika maji na matope sakafuni. Mfanyabiashara akajibu. "Si nilikwambia vaa mavazi yanayofaa na usichelewe? Sasa umechelewa zaidi ya saa limoja na mavazi yako yamechafuka. Niambie nitawezaje kukuajiri baada ya hapo?" Kisha Ali akaeleza yote yaliyomtokea. Mfanyabishara akamjibu "Nimejifunza mengi kuhusu wewe kutoka kwa hadithi yako Ali. Ukiwa na kusudi kichwani, utafanya kazi kwa bidii, na pale unapokutana na vikwazo hukati tamaa, hata kama umechelewa. Nakwambia, wewe ndiye wa kwanza kufika leo. Mwingine alikosa kabisa. Nitakuajiri wewe."

Mafanikio makubwa huanza na makosa mengi, lakini baada ya muda, uvumilivu na ustahilimilu huleta matunda. Kukosa ni uanadamu, lakini Mungu ni mvumilivu sana kwetu. Anatupa nafasi nyingi za kujifunza na kujaribu tena, ilimradi tusikate tamaa.

Wengine wanasema methali ya "Better late than never never" inatoka kwa kitabu cha The Canterbury Tales, kilichoandikwa na Chaucer miaka ya 1390.
Better than never is late
“Bora kuliko kamwe ni kuchelewa
-The Canterbury Tales, The Canon's Yeoman's Tale
Wengine wanasema chimbuko la kweli ni kitabu cha Historia ya Roma, kilichoandikwa na Livy takriban mwaka wa 20 KK.
Lilatini: potiusque sero quam numquam
Bora kuchelewa kuliko kukosa kabisa
- History of Rome, Book 4

Methali ya Kiingereza inayoendana ni:
It's never too late
Hakuna kuchelewa
 Methali ya Kiingereza inayopinga:
Don't close the gate after the horse has bolted.
Usifunge mlango baada ya farasi kukimbia

Methali ya Kihindi: 
जब जाति तब सवेरे
Wakati wowote unapoamka, ndo asubuhi yako

...

Fikiria kama umechelewa Mahojiano ya Ajira. Ungefanyaje? Next time unapofikiri "Nimeshachelewa" jiambie "Bora kuchelewa kuliko kukosa kabisa." Kwa mfano makala hii ya Methali ya Siku ilichelewa, lakini sasa unaisoma - Asante!

Updated 4mo ago
by
by Nankya Sauda 🇺🇬
🏆 Proverb Essay Contest 
🥇 First Place Winner

Still waters run deep

Ever taken time to wonder why the elderly will always live to be wiser than the young? Have you ever taken time to meditate on where your origin sprouts from? If not, it is high time you started looking for your origin because it is important for one to know their roots. 
 Over time, you take the burden to unveil the nature of famous geniuses and their personalities, you will come to realize that they are celebrated introverts.  It is important that one takes off some time their busy schedule and read about some of the top celebrated geniuses like Albert Einstein , the famous scientist from whom we derive one of the most educative quotes;
The monotony and solitude of a quiet life stimulates the creative mind.”

This highlights that time spent alone does not only provide one with space for self-reflection but also gives space to someone to use their mind creatively. Great talkers are great are great lawyers they say, and we have seen this happening during our daily routine where people make empty promises, make false declarations to please those around them but may never take time off to do something in a bid to realize their words. Because of that, many have ended up losing trust in these so called great talkers.
     On the other hand however, silent people have always blown our minds with their actions. Their moves are always calculated, their ambitions clear and their actions intentional. Romantic lovers in a relationship are always spicing up their relationships with new inventions to keep their love blooming. Those that have employed or stayed around introverts can justify that staying around these people has been one of the greatest achievements in their lives, for these have always worked  smarter, had critical thinking sessions in their alone time and eventually produced the best results and the biggest promotions.
     Literally, we can loosely define proverbs as traditional sayings that are particular to a particular country. They are short and wise sayings that usually offer advice as well as boost an idea in relation to the day to day life.  In fact, for one to have a clear and elaborate understanding of cultural norms and practices, it is wise that they always make a reference to proverbs since they can have an elaborate meaning beneath them.
     Historically, the proverb “STILL WATER RUNS DEEP” draws its origin from the ancient times in Latin. It became popular after Shakespeare used it in his play Henry vi in 1590. He said;
“Smooth runs the water where the brook is deep”

We realize that, in some instances the most dangerous people with the wickedest hearts have always calculated their moves and taken action at a time everyone least expects them to. That is why betrayals come from people we least expect them from. It is therefore crucial for someone to not only take what the eyes meet but also take caution especially from people who do not retaliate immediately after they have been provoked or confronted.
     Albert Einstein despite his introverted character, he his famously known for devising his theory of relativity which revolutionized our understanding of space, time, gravity and the universe.
     Conclusively, it is very important  not to draw conclusions just because looks are deceptive and there is always more to know and discover than the eyes can see.
...
Methali hii inahusiana na tabia ya kufikiria kwamba watu wengine wana vitu vizuri zaidi, hali nzuri zaidi nk... Kwa mfano kufikiri jirani yako ana majani mazuri kuliko wewe.

Chanzo cha methali hii ni "Sanaa ya Upendo" na Ovid, kitabu cha mashairi yaliyotungwa ili kutoa shauri kwa wanaume na wanawake kuhusu kutafuta na kudumisha mahusiano ya kimapenzi. Kitabu hiki kiliandikwa zaidi ya miaka 2000 iliyopita, takribani 2 KK:
Watu hutaka furaha mpya. Huwa tunaona kuwa watu wengine wana bahati zaidi kuliko sisi wenyewe. Mazao daima ni bora katika shamba la jirani yetu; ng'ombe wake hutoa maziwa zaidi. 
 - Ovid Ars Amatoria (Sanaa ya Upendo), Ukurasa wa 24

Kwa upande mmoja, methali hii inamaanisha, bora kushika kile ulicho nacho, na kupuuza kile ambacho wengine wanacho, hata kama inaonekana ni bora zaidi. Lakini pia kwa mtazamo mwengine, inamaanisha bora kutumia akili yako katika kuboresha hali yako mwenyewe (kama kumwagilia shamba lako) badala ya kufikiria sana ukweli kwamba shamba lako, au hali kwa ujumla, ni duni. Methali nyingine ni "Majani huonekana ya kijani zaidi pale ambapo yalipomwagiliwa maji." 

Methali zinazofanana kikanuni:
Kihindi: 
दूर के ढोल सुहावने लगते हैं
Ngoma za mbali husikika vizuri
Kichina: 
隔籬飯香 
Wali wa jirani hunukia vizuri
Kijapani:
隣の芝生は青く見える
Majani ya jirani huonekana kijana zaidi
Kurusi:
соседняя очередь всегда движется быстрее
Foleni nyingine husogea kwa kasi zaidi
...
Updated 4mo ago
by
Kwa kiingereza tunasema "One man's trash is another man's treasure," maana yake, kilichotupwa na mtu mmoja, kinaweza kutumikia mwingine na kuwa na thamani kwake.

Msemo huu hutumika ili kueleza jinsi mapendeleo ya watu hutofautiana, ama kuonyesha matumaini kwamba wanadamu ni wabunifu katika masuala ya kupanga upya au kuchakata vitu vilivyotupwa na wengine.

Kwa mfano, mjasiriamali Gibson Kiwago, mwanzilishi wa WAGA Tanzania, anachakata betri za laptop ili kuleta umeme kwa nyumba na maduka. Jifunze zaidi kuhusu E-Waste (Orodha ya Kusoma)!

Dhana kwamba thamani ya kitu hutegemea mtazamo wako ipo tangu zamani. Chimbuko cha msemo huu ni methali ya Kiingereza iliyotumika karne ya 17:
One man's meat is another man's poison
Nyama na mtu mmoja ni sumu ya mtu mwengine

Je umewahi kuona thamani katika kitu kilichotupwa na mwengine?
...
Updated 4mo ago
by