You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

View this book in English The Merchant of Venice
Mabepari wa Venisi (The Merchant of Venice)
Written by
Publisher Genesis Press, Inc.
Published 2012
sw
Pages 93
A Kiswahili translation of The Merchant of Venice. SHAILOKI: "Nalazimishwa na nini? Hebu niambie hilo." POSHIA: "Si tabia ya rehema kutolewa kwa lazima, huanguka kama mvua nyororo kutoka juu, ikatonekea chini: ina baraka kuwili; hubariki mtoaji, na pia mpokeaji: Ni nyingi kwa wenye vingi: Humalaiki zaidi mfalme mwenye taji kulipita taji lake; Kirungu chaake cha enzi ni cha uwezo wa muda, ambao ni afani yake ya fahari na adhama, ndiyo asili ya kucha na kuhofu wafalme. Bali rehema yazidi enzi hii ya kirungu; ndiyo yenye enzi kuu nyoyoni mwa watawala. Ni sifa yake manani, Mwenyezi Mungu mwenyewe." The Merchant of Venice is the story of Antonio and his friend Bassanio. Bassanio is in need of money so that he may woo Portia, a wealthy heiress. He asks Antonio for a loan, and Antonio agrees, even though all his money is tied up in shipping ventures. Together they go to Shylock, a moneylender, to request a long against Antonio's shipping ventures. Shylock agrees to the loan at no interest on the condition that if the debt is not repaid Shylock may collect a pound of Antonio's flesh.
...
Translated by
Julius Kambarage Nyerere
ISBN: 1585716332
Thank you to Genesis Press, Inc.
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all