We fund a library in Arusha, Tanzania
Read more Learn more
Posts / Proverbs Proverb of the day
SW

Mtoto akilia wembe, mpe

Picha hii imetengenezwa na akili bandia (AI)
Habari zenu wapenzi wa lugha na hekima! Karibuni tena katika kipindi chetu cha leo cha Methali! Methali ya leo ni “Mtoto akilia wembe, mpe.” Je, unaijua? Kwa walezi wengi, inaweza kuonewa… kali sana, au sivyo? Ina maana gani kwako? Je, unakubaliana nayo? Tushirikiane mawazo. 

Nikisikia nitasahau, nikiona nitakumbuka, nikifanya nitaelewa.
-Mwalimu Amos 

Mtoto akitaka wembe, basi mpe ili aelewe kwanini alionywa dhidi ya kucheza nao. Methali hii inaonyesha umuhimu wa kuwapa watu nafasi za kujifunza kutokana na uzoefu wao wenyewe, hata kama wanaweza kuumiwa (kidogo). Vilevile, hata ukikataa kumpa, labda hatatiii na atacheza nao ukiwa nje. Methali hii inaweza kutumika pia kama onyo kwa mtu anayepuuza ushauri au kusisitiza njia yake. Ingawa ni muhimu kusikiliza ushauri na maonyo kutoka kwa wengine, wakati mwingine tunahitaji kuona matokeo ya vitendo vyetu wenyewe ili kuelewa madhara yake. 

Adhabu ya Asili  (Natural Consequences)

Katika eneo la malezi, methali hii inafundisha kanuni ya Natural Consequences (Adhabu Halisi au Adhabu ya Asili). Adhabu ya asili ni matokeo yatakayokuja kwa sababu ya tabia ya mtoto mwenyewe. Tofauti na adhabu ya kutolewa au adhabu ya viboko, adhabu ya asili hujitokeza bila mlezi kujiingilia. Kwa mfano, fikiria kama mwanako amesahau daftari yake nyumbani. Ungefanyaje? Wazazi wengine wanajibu “Singefanya chochote, maana atahitaji kueleza kwa mwalimu wake.” Wengine wanasema “Ningekimbia shuleni ili kumletea daftari, halafu jioni ningempa adhabu.” Ipi bora?  Jibuni hapo chini… 

Swali: Je, mtoto akilia nyoka utampa?

Sawa tumekubaliana mtoto akilia wembe, mpe. Lakini… fikiria kama mtoto analia kitu cha hatari zaidi— je utakubali? Yesu aliwauliza wazazi: “Mtoto akiomba samaki, je, atampa nyoka?” Akilia nyoka, utampa? Wembe unaweza kusababisha jeraha ndogo, lakini si hatari sana kama nyoka mwenye sumu. 
Wewe kama mzazi, utakubali kiasi gani cha hatari ili ajifunze mwenyewe? Kama anaomba kuacha masomo ili kucheza michezo za simu sikuzote? Kama anaomba kumwoa/kumwolewa na mtu ambaye haumwamini katika umri mdogo? Yaani pia kuna maamuzi muhimu ambayo watoto hawako tayari kujifanyia. 
Je wewe kama mzazi unawezaje kuamua au kutambua kama unapaswa kumwokoa / kumlinda mwanako, ama kama unapaswa kumwachia afunzwe na ulimwengu? Wazazi na walezi wote tunaomba maoni yenu!

Nyoka ana madhara.
-Mwalimu Shila  

Utekelezaji wa methali hii katika maisha ya kila siku

Elimu: Watu hukumbuka walichojifunza kwa vitendo kuliko walichoambiwa kwa maneno. Utafute nafasi za kutekeleza kile unachojifunza.
Malezi: Mpe mtoto uhuru na nafasi za kujifunza kupitia uzoefu. Usimtatulie kila jambo, na usiogope anapofeli, kama hakuna hatari wala madhara ya muda mrefu, maana kufeli ni nafasi ya kujifunza kwake.
Kusikiliza: Ukipuuza maonyo na shauri, usishangaye kuona madhara yaliyotabiriwa.

Related Posts

Have you ever wanted to write a book?
Below I explain how I accidentally wrote a book in just 1 day...you can do the same!

Previously, I published 6 books which are on Amazon...the first one took me over two years. The subsequent books took 4-6 months each, and in a surprising turn of events, I created my 7th book in an afternoon. An afternoon? Yes. That's correct. I published a Swahili children's book from start to finish in about 6 hours.

How did I decide to write a book in Swahili?
In part because of my tangential involvement with a school in Tanzania I decided to learn Swahili. Several months in, I casually noticed that the word "water" rhymed with "I need" or "I do not need." A lightbulb went off and I decided to challenge myself to create a children's story in Swahili that rhymes, or at the very least I used the excuse of "making a children's book" to continue to practice the new vocabulary words that I was learning.

The book I wrote, Hatuhitaji Maji translates to "We...

Read more...
Updated >1y ago
by

Reading to your child every day has many benefits. It can improve your child's language skills, increase their vocabulary, and foster a love of reading. It can also help to improve your child's concentration and attention span, and can even have a positive effect on their imagination and creativity. Additionally, reading to your child can be a great way for the two of you to bond and spend quality time together. Here at Maktaba we encourage parents to read to their children daily.

Below is a list of the top reasons to make it a ritual:
1. Improved language skills: Reading to your child exposes them to a wide range of words and language structures, which can help to improve their language development and communication skills.
2. Increased vocabulary: As your child listens to you read, they will be introduced to new words and concepts that they may not have come across in their everyday life. This can help to increase their vocabulary and broaden their understanding of the world.
3....

Read more...
Updated >1y ago
by

Kumsomea mtoto wako kila siku kuna faida nyingi. Inaweza kuboresha ustadi wa lugha wa mtoto wako, kuongeza msamiati wake, na kukuza kupenda kusoma. Inaweza pia kusaidia kuboresha umakini na umakini wa mtoto wako, na inaweza kuwa na athari chanya kwenye mawazo na ubunifu wao. Zaidi ya hayo, kumsomea mtoto wako kunaweza kuwa njia nzuri ya nyinyi wawili kushikana na kutumia wakati mzuri pamoja.

Hapa Maktaba tunawahimiza wazazi kuwasomea watoto wao kila siku. Ifuatayo ni orodha ya sababu kuu za kuifanya kuwa tambiko:

1. Ustadi wa lugha ulioboreshwa: Kumsomea mtoto wako kunawaweka wazi kwa anuwai ya maneno na miundo ya lugha, ambayo inaweza kusaidia kuboresha ukuaji wao wa lugha na ustadi wa mawasiliano.
2. Kuongezeka kwa msamiati: Mtoto wako anapokusikiliza ukisoma, atajulishwa maneno na dhana mpya ambazo huenda hajakutana nazo katika maisha yake ya kila siku. Hii inaweza kusaidia kuongeza msamiati wao na kupanua uelewa wao wa ulimwengu.
3. Kupenda kusoma: Kumsomea mtoto wako...

Read more...
Updated >1y ago
by

Don't count your chickens before they hatch means that you shouldn't depend on a favorable outcome until it is certain. You shouldn't assume that all your eggs will hatch into healthy chicks and grow into chickens. Do you have a story about this proverb? Share below!

The first written record of this common English proverb is a sonnet written in 1570 by Thomas Howell:
“Count not thy Chickens that unhatched be,
Weigh words as wind, till thou find certainty ”

Many languages have proverbs that convey a similar principle.

Swahili:
“Tujivune hatimaye. ”

Let's praise ourselves at the end.

French:
“Il ne faut pas vendre la peau de l’ours avant de l’avoir tué.”

Don't sell the skin of the bear before killing it.

Arabic:
“لا تشتري السمك وهو في البحر بل انتظر حتى يصطاد”

Do not buy a fish while it is in the sea; wait until it is caught.

German:
“Man soll den Tag nicht vor dem Abend loben.”

Don't praise the day before the evening.

Latin: 
“Ante victoriam ne canas triumphum”

Don't...

Read more...

This picture was created using AI. What do you think? What picture do you think would best illustrate this proverb?

Updated >1y ago
by

Methali hii ina maanisha hupaswi kutegemea matokeo mazuri kabla hayajatokea. Hupaswi kutegemea mayai yako yote yatakuwa vifaranga wenye afya nzuri. Je, una hadithi kuhusu methali hii? Toeni maoni!

Rekodi ya kwanza iliyoandikwa ya methali hii ya Kiingereza ni shairi iliyoandikwa mwaka wa 1570 na Thomas Howell:
“Usiwahesabu kuku wako ambao hawajaanguliwa,
Pima maneno kama upepo, hadi upate uhakika”

Lugha nyingi zina methali zinazofundisha kanuni karibu na hii. Mifano:

Kiswahili:
“Tujivune hatimaye.”

Kifaransa:
“Il ne faut pas vendre la peau de l'ours avant de l'avoir tué.”

Usiuze ngozi ya dubu kabla ya kumuua.

Kiarabu: 
“لا تشتري السمك وهو في البحر بل انتظر حتى يصطاد”

Usinunue samaki yumo baharini; subiri hadi itakapokamatwa.

Kijerumani:
“Man soll den Tag nicht vor dem Abend loben.”

Usisifu siku moja kabla ya jioni.

Kilatini:
“Ante victoram ne canas triumphum”

Usiimbe shangwe kabla ya ushindi.

Kireno:
“Não conte com o ovo dentro da galinha.”

Usihesabu yai ndani ya kuku.

Picha hii ilichorwa kwa kutumia Akili Bandia (AI). Mnafikiriaje? Toeni maoni!

Updated >1y ago
by

This Russian Proverb was quoted by Pushkin in the novel "The Daughter of the Commandant":
“My parents gave me their blessing, and my father said to me—
  "Good-bye, Petr'; serve faithfully he to whom you have sworn fidelity; obey your superiors; do not seek for favours; do not struggle after active service, but do not refuse it either, and remember the
proverb, 'Take care of your coat while it is new, and of your honour while it is young.'"
  My mother tearfully begged me not to neglect my health.”

Updated >1y ago
by

“When life gives you lemons, make lemonade” means that we should try to make the best out of difficult situations. Lemons are sour and bitter on their own, but by adding sugar and water turns sour lemons into a sweet refreshing drink. When life presents difficulties and challenges (lemons), we can be creative, resilient and flexible to transform these challenges into opportunities (lemonade).

Do you have a story about a time you turned a challenge into an opportunity? Do you know any other sayings that relate to the same principle? Comment below!
Here are some similar sayings from other cultures: 
“The impediment to action advances action. What stands in the way becomes the way.”

- Meditations by Marcus Aurelius

“ اِصْنَعْ شَرَابًا حَلُّوا مِنْ حَامِض لَيْمُون الْحَيَاةِ.”

“Make a sweet drink from the acid of the lemon of life. ”

-Arabic Proverb
“जब भी जीवन में मुश्किलें आएँ तो उनका भी लाभ उठाएँ”

“When difficulties come into life, take advantage of them too. ”

-Hindi...

Read more...

This picture was created using AI. What do you think? What picture do you think would best illustrate this proverb?

Updated >1y ago
by

"Maisha yakikupa limao, tengeneza juis" inamaanisha pale tunapokutana na changamoto, tunapaswa kujaribu kuzifanyia kazi  ili zibadilike kuwa fursa. Limao pekee ni chungu, lakini sukara na maji safi hugeuza limao chungu kuwa kinywaji kitamu cha kuburudisha. Maisha yanapoleta chungu na changamoto (limao), tunaweza kuwa wabunifu na wastahimilivu ili kubadilisha changamoto hizi kuwa fursa (juis).

Je, umewahi kubadilisha changamoto kuwa fursa?
Je! unajua misemo au mithani inayohusiana na kanuni hiyo hiyo?
Toeni maoni hapa chini!

Misemo inayohusiana kutoka kwa tamaduni mbalimbali:
Kizuizi cha hatua huendeleza hatua. Kinachosimama njiani kinakuwa njia.
- Tafakari za Marcus Aurelius (Roma ya Kale)
“اِصْنَعْ شَرَابًا حَلُّوا مِنْ حَامِض لَيْمُون الْحَيَاةِ”

“Tengeneza kinywaji kitamu kutoka kwa asidi ya limau ya maisha.”

-Methali ya Kiarabu 
“जब भी जीवन में मुश्किलें आएँ तो उनका भी लाभ उठाएँ
Matatizo yanapotokea, tumia fursa hiyo pia. ”

-Methali ya Kihindi

(Chanzo: Shukrani kwa...

Read more...

Picha hii iliundwa kwa kutumia Akili Bandia. Unafikiriaje? Je, picha gani ingefafanua methali hii vyema?

Updated >1y ago
by

Today's proverb "Haraka haraka haina baraka" literally translates to "Hurry hurry has no blessing"... but that doesn't rhyme, so we decided to go with "Haste makes waste." Which translation do you like better?  Have you ever rushed through something and regretted it later? Comment below... 

I see two possible interpretations of this proverb (in Swahili):
1. Patience: Hurry causes us to make mistakes, and those mistakes cause us to miss out on potential blessings.
2. Mindfulness: When we're in a hurry, we don't have time to notice or enjoy the blessings we have.  

What do you think? What's your interpretation?

Similar saying are common around the world:
Spanish: 
“No por mucho madrugar amanece más temprano
(Waking up early doesn't make the sun rise any sooner)”

Chinese: 
“欲速则不达
(Haste makes waste)”

From the Sayings of Confucius (Analects, 13:17, page 92)
“When Tsz-hiá became governor of Kü-fu, and consulted him about government, he answered, "Do not wish for speedy results. Do...

Read more...
Updated >1y ago
by

Methali ya leo ni "Haraka haraka haina baraka." Tafsiri yake kwa Kiingereza ni "Haste makes waste" au "Hurry hurry has no blessing" Mnaonaje - tafsiri ipi bora? Toeni maoni chini... 

Kwa upande wangu naona kwa mitazamo miwili. Methali hii inaweza kutufundisha:
1. Subira: Haraka husababisha makosa, na makosa hutuzuia baraka. (Nenda taratibu)
2. Mindfulness (yaani uwepo kiakili na utulivu): Tunapopoenda kwa haraka, hakuna muda wa kutambua, kutumia au kufurahia baraka tulizo nazo. 

Kuna misemo karibu na "haraka haraka haina baraka" katika nchi nyingi. Mifano: 
Kihispania: 
“No por mucho madrugar amanece más temprano
(Kuamka mapema hakufanyi jua kuchomoza mapema)”

Kifaransa: 
“Tout vient a point a qui sait attendre
(Everything comes to those who wait)”

Kiswahili:
“ Pole pole ndio mwendo ”

Kichina: 
“欲速则不达”

Methali hii ya Kichina ni karibu na "Haraka haraka haina baraka". Inatoka kitabu cha Misemo ya Konfusio (Analects, 13:17, ona ukurasa wa 92):
“Tsz-hiá alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa...

Read more...
Updated >1y ago
by
Play Tennis or Pickleball in Arusha, Tanzania

Your reservations contribute to supporting:

for kids, teens and adults in Arusha, Tanzania

and the maintenance and upkeep of the courts.

We recently built 3 new lighted pickleball courts in Arusha, Tanzania!

Are you traveling to Tanzania?

Learn Useful Phrases in English & Swahili

Master essential everyday phrases in both languages