You are now browsing in English. Switch to Swahili
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiingereza. Rudi kwa Kiswahili"
You need to login to view profiles OR to update your profile

Create a new account

New announcements
Discussions
Proverbs

Takataka ya mtu mmoja ni hazina ya mtu mwingine

Join
or login
to VOTE for Proverb of the Month
Votes
1
Updated 5mo ago
by
View this proverb in English
One man's trash is another man's treasure
Kwa kiingereza tunasema "One man's trash is another man's treasure," maana yake, kilichotupwa na mtu mmoja, kinaweza kutumikia mwingine na kuwa na thamani kwake.

Msemo huu hutumika ili kueleza jinsi mapendeleo ya watu hutofautiana, ama kuonyesha matumaini kwamba wanadamu ni wabunifu katika masuala ya kupanga upya au kuchakata vitu vilivyotupwa na wengine.

Kwa mfano, mjasiriamali Gibson Kiwago, mwanzilishi wa WAGA Tanzania, anachakata betri za laptop ili kuleta umeme kwa nyumba na maduka. Jifunze zaidi kuhusu E-Waste (Orodha ya Kusoma)!

Dhana kwamba thamani ya kitu hutegemea mtazamo wako ipo tangu zamani. Chimbuko cha msemo huu ni methali ya Kiingereza iliyotumika karne ya 17:
One man's meat is another man's poison
Nyama na mtu mmoja ni sumu ya mtu mwengine

Je umewahi kuona thamani katika kitu kilichotupwa na mwengine?
Sources
One man's meat is another man's poison - Soma zaidi stackexchange
One man's trash is another man's treasure - Wiktionary 
Loading...
Loading...
Login to view and post comments
Siku moja, mfanyabiashara mashuhuri alitafuta msaidizi. Alipokea maombi na CV za watu wengi sana, lakini wawili tu walikidhi vigezo: Amina na Baraka. Ili kuamua kati yao, aliwaita wote wawili, na akawaalika waje kwaajili ya mahojiano ya ajira, kesho yake asubuhi. "Saa tatu kamili -- vaa mavazi ya kazi, na usichelewe!" Akawaonya.

Kesho yake Ali aliwahi kuamka, akavaa suti yake nzuri, na alipanda basi kijijini kwake saa 2. "Bora kinga kuliko tiba" alifikiria. Njiani kuelekea mjini, basi ilianza kutoa moshi. Abira wote walishuka na waliachwa porini. Hapo hapo mvua ilianza kunyesha. Kila basi lililompita, Ali akaomba nafasi, lakini, kutokana na hali ya hewa, mabasi yote yalikuwa yameshajaa. Kwa hivyo ikabidi atembee kwa miguu. Ilipotimia saa tatu, bado Ali alikuwa mbali na mji, na mvua ikawa kali zaidi na zaidi. "Lazima niendelee" akajiambia, "Bora kuchelewa kuliko kukosa kabisa."

Wakati huohuo mjini, Baraka aliamka ghorofani kwake, na akashtuka ghafla akiona jua lilikuwa limeshafika mbali angani. "Aisee! Niliweka alarm! Simu yangu ina shida gani sasa?" Alitazama saa ukutani: Saa tatu kamili. "Bora niache tu. Hata nikiondoka saivi, bado nitachelewa kufika. Si alisema usichelewe? Hatamwajiri aliyechelewa." Kwa hivyo Baraka, akiwa na huzuni, akalala tena.

Saa nne na nusu, hatimaye, Ali alifika ofisini kwa mfanyabiashara na kugonga mlango, suti yake ikichuruzika maji na matope sakafuni. Mfanyabiashara akajibu. "Si nilikwambia vaa mavazi yanayofaa na usichelewe? Sasa umechelewa zaidi ya saa limoja na mavazi yako yamechafuka. Niambie nitawezaje kukuajiri baada ya hapo?" Kisha Ali akaeleza yote yaliyomtokea. Mfanyabishara akamjibu "Nimejifunza mengi kuhusu wewe kutoka kwa hadithi yako Ali. Ukiwa na kusudi kichwani, utafanya kazi kwa bidii, na pale unapokutana na vikwazo hukati tamaa, hata kama umechelewa. Nakwambia, wewe ndiye wa kwanza kufika leo. Mwingine alikosa kabisa. Nitakuajiri wewe."

Mafanikio makubwa huanza na makosa mengi, lakini baada ya muda, uvumilivu na ustahilimilu huleta matunda. Kukosa ni uanadamu, lakini Mungu ni mvumilivu sana kwetu. Anatupa nafasi nyingi za kujifunza na kujaribu tena, ilimradi tusikate tamaa.

Wengine wanasema methali ya "Better late than never never" inatoka kwa kitabu cha The Canterbury Tales, kilichoandikwa na Chaucer miaka ya 1390.
Better than never is late
“Bora kuliko kamwe ni kuchelewa
-The Canterbury Tales, The Canon's Yeoman's Tale
Wengine wanasema chimbuko la kweli ni kitabu cha Historia ya Roma, kilichoandikwa na Livy takriban mwaka wa 20 KK.
Lilatini: potiusque sero quam numquam
Bora kuchelewa kuliko kukosa kabisa
- History of Rome, Book 4

Methali ya Kiingereza inayoendana ni:
It's never too late
Hakuna kuchelewa
 Methali ya Kiingereza inayopinga:
Don't close the gate after the horse has bolted.
Usifunge mlango baada ya farasi kukimbia

Methali ya Kihindi: 
जब जाति तब सवेरे
Wakati wowote unapoamka, ndo asubuhi yako

...

Fikiria kama umechelewa Mahojiano ya Ajira. Ungefanyaje? Next time unapofikiri "Nimeshachelewa" jiambie "Bora kuchelewa kuliko kukosa kabisa." Kwa mfano makala hii ya Methali ya Siku ilichelewa, lakini sasa unaisoma - Asante!

Updated 5mo ago
by
Widespread economic prosperity typically reaches all citizens of a country or region. A country cannot benefit without all of its citizens somehow benefitting, in the same way that an incoming tide will lift all boats including both the behemoth cruise ships and the tiny canoes.

Occasionally, the adage also may be used when referring to entire groups benefitting from a change in circumstances, particularly an influx of resources that seemingly might reach only individuals. I have heard co-workers respond to their co-workers receiving large sales commissions by saying, "a rising tide lifts all boats," implying that the increase in business for the company will expand the total opportunities for the company (and thus all employees). In this use case, clearly it is understood that the "rising tide" does not lift all boats equally.

Critics of this proverb may dispute its veracity claiming the phrase is erroneously used to justify any type of deal or arrangement that seems to benefit the few, but typically the expression is used with optimism or as a form of mild celebration by leaders, or members of the group themselves.

The proverb is often attributed to John F. Kennedy after he used it in a 1963 speech disputing the claim that a dam construction project had too much pork (wasteful spending). Kennedy's speechwriter (Ted Sorensen) revealed that the New England Council originally used the phrase, which Kennedy borrowed regularly.

A similar phrase is "to grow the pie," which means to make the entire set of opportunities greater, presumably so that everyone can appreciate a larger piece of pie, even if their percentage of the pie does not change.

Do you share the sentiment that broad economic prosperity reaches all?
...
Updated 5mo ago
by
What one person throws away may be useful and valuable to someone else.

This saying is often used to describe either the diversity of human preferences or to express optimism that humans are quite creative when it comes to repurposing or recycling what other people throw away.

For example, entrepreneur Gibson Kiwago, founder of WAGA Tanzania, recycles old laptop batteries to power homes and businesses in Tanzanzia. Check out our E-Waste Reading List!

The notion that people subjectively assess quality has been around a long time. The saying derives from a 17th century proverb:
One man's meat is another man's poison.

Have you ever seen value in something that someone else threw away?
...
Updated 5mo ago
by
Compare this simple, humble basket of fruit with a bag of lollipops. The fruit is ripe, juicy, packed full of vitamins -- it just sells itself. The lollipops, on the other hand, scream for our attention with explosive slogans and neon colors. But underneath the shiny packaging, it's really just plain sugar with some food coloring and artificial flavors.

Like other primates, humans find fruit attractive because it gives us energy and nutrition. Candy gives us energy, but it doesn't give us real nutrition. It just does a very clever job pretending to be fruit. Don't fall for it!

A good thing doesn't need to advertise, because quality speaks for itself. As the economists would say, demand exceeds supply.  Many advertisements seems to promise us happiness, beauty, love, wealth or respect. But ask yourself, does the ad promise more than the product can really deliver? Coca-Cola isn't a love potion.

This proverb reminds us of the enduring value of true quality and competence over flashy appearances. It's often used to express skepticism about a person who brags or praises themselves excessively.

We should all strive to be more like the basket of fruit: simple, authentic and good. These qualities will draw other people to you — at least the kind of people who understand that “chema chajiuza, kibaya chajitembeza

Related proverbs:
Don't judge a book by its cover.
Appearances are deceiving.
All that glitters is not gold 
 高嶺の花  Hana yori dango - Dumplings over flowers

...
Updated 5mo ago
by