The credit of success is claimed by all, while a disaster is attributed to one alone.
- Tacitus, in Agricola
It is precisely when things are good that we should be considering the possibility that someday they might not be so good. We should be acquiring allies. We should be doing favors and good for other people—because someday, we’ll need them to do the same for us.
Ukitaka kwenda haraka, nenda peke yako, ukitaka kwenda mbali, nenda na wenzako
Rome ne fu[t] pas faite toute en un jour
Kutoka kitabu cha Li Proverbe au Vilain kilichochapishwa takriban mwaka wa 1190
Kifaransa cha kisasa: Rome ne s'est pas faite en un jour
Maana yake: Roma haikujengwa kwa siku moja
冰凍三尺,非一日之寒
Mita ya barafu sio kwa sababu ya siku moja ya baridi
Chan ann leis a’ chiad bhuille a thuiteas a’ chraobh
Sio pigo la kwanza linaloangusha mti
Picha: Shukran kwa Zamani Project waliounda ziara ya mtandaoni ya Kilwa Kisiwani!
Matone madogo ya maji,
Chembe kidogo za mchanga,
hutengeneza bahari kubwa
Na ardhi ya kupendeza
Vivyo hivyo zile dakika ndogo,
ingawa ni ndogo,
hutengeneza enzi za milele.
‘Anichaguaye mimi atakuwa amepata kile wanaume wengi wakitamanicho sana.’
‘Anichaguaye mimi apate astahilicho.’
‘Anichaguaye mimi itambidi atoe, na pia ahatarishe chochote alicho nacho.’
‘Anichaguaye mimi itambidid atoe na pia ahatarishe cho chote alicho nacho.’
‘Anichaguaye mimi apate astahilicho’.
‘Anichaguaye mimi atakuwa amepata kile wanaume wengi wakitamanicho sana!’
Kila kitu king’aacho usidhani ni dhahabu,
umekisikia hicho ni kiambo cha mababu.
Kuniona kwa nje tu, wengi wameuza utu;
Makaburi ya dhahabu yana mafunza ajabu.
Ungekuwa na werevu ulivyo na ushupavu,
kijana kiwiliwili na mzee kwa akili,
usingelistahili kulipewa jibu hili:
Basi buriani dawa; pposa umefarikiwa.
Silaha za siku hizi ni kalamu na karatasi.
- Methali ya Kiswahili
"Ukinipa picha, nitakupa vita."
- William Randolph Hearst
(Mwandishi wa habari na mchapishaji wa magazeti, Marekani)
Dhibiti kinywa chako kwa uangalifu ...[ILIKATA]... na ufanye moyo wako kuwa mzito(?), kwa maana neno linalosemwa ni kama ndege, naye alitamkaye ni kama mtu asiye na ...[ILIKATA]... ufundi wa maneno una nguvu zaidi kuliko ufundi wa ...[ILIKATA]...
- Hadithi ya Ahikar, Ukurasa wa 171/274
Kwa maana neno la Mungu ni hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili.
Waebrania 4:12, Biblia
Wengi wanaovaa panga huogopa kalamu.
-William Shakespeare
Tamthilia ya Hamlet, Sehemu ya 2, Onyesho la II (ukurasa wa 59)
CC BY Unaruhusiwa kunakili & kusambaza mchoro huu na makala hii bila idhini, ukitaja tu chanzo (www.maktaba.org)