You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Fungua akaunti mpya

Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Taarifa
Majadiliano
Methali

Kiburi hutangulia anguko

Ili kupiga KURA kwa Methali ya Mwezi
Kura
0
Iliharirishwa miezi 5 iliyopita
by
View this proverb in English
Pride goes before a fall
Methali ya leo, (Kiburi hutangulia anguko au kiburi huja kabla ya kuanguka) maana yake ni watu wenya kiburi sana wanaweza kufeli haraka. Mafanikio huleta kiburi, na kiburi hutupeleka kupuuza mambo muhimu. Pia ukijiamini sana, ni rahisi kukosa. Kiburi (au ego/ubinafsi) inaweza kutufanya tusione ukomo wa uwezo wetu wala uhalisia wa hali yetu.

Lakini kwa upande mwengine, katika dunia ya kisasa, watu wengi wanathamini zaidi fadhili za kujiamini na kujivunia. Ju kuna utofauti gani kati ya kujiamini (kitu kizuri) na kiburi (kitu kibaya). Toeni maoni, nawaomba!

Methali hii huhusishwa nna hadithi ya Ikarus, kutoka Ugiriki wa kale. (Someni kitabu chetu kipya chenye michoro, "Usiruke Karibu Sana na Jua").  Ikarus alipewa mabawa na baba yake, Daedalus. Mabawa hayo yalitengenezwa na manyoya na nta.  Daedalus akamwambia mwanake asiruke karibu sana na jua, lakini Ikarus alipuuza ushauri wa baba yake, akiruka juu sana, kwa kiburi. Jua liliyeyusha nta, na Ikarus akaanguka baharini na kuzama.

Titanic (Meli) ilijengwa kuanzia 1909. Kabla ya safari ya kwanza,  Phillip Franklin, mkuu wa kampuni aliandika:
There is no danger that Titanic will sink. The boat is unsinkable.
Hakuna hatari ya Titanic kuzama. Meli hii haizamiki.
Kwa sababu ya kiburi chao, hawakuwa na mashua (lifeboats) za kutosha kwa abiria wote, kwa ajili ya dharura. Mwaka wa 1912, Titanic ilizama, pamoja na watu zaidi ya 1500 waliofariki.

Katika fasihi, mashujaa wengi wa trajedy wanashushwa na majivuno na kiburi. Kwa mfano, katika kitabu cha Mflame Lear (na Shakespeare), kiburi cha mfalme kilimfanya awe katika hatari ya kubembelezwa, na uamuzi wake mbaya ukamgharimu kile alicho nacho. Kiburi cha Juliasi Kaizari kilimpeleka kusisitiza kwenda bungeni akipuuza maonyo mengi kwamba angeuawa. Vilevile, Oedipus (Mfalme Edipode) alijivunia sana, na hakusikiliza wengine waliomshauri, asitafute ukweli kuhusu wazazi wake.

Methali ya leo inatoka katika kitabu cha Mithali katika Biblia.
Kiburi hutangulia kabla ya uharibifu
na moyo wa kujivuna kabla ya maangamizi. 

Korani pia ina aya nyingi juu ya kiburi, kwa mfano:
ٱللَّهَ لَا يُحِبُّ مَن كَانَ مُخْتَالًا فَخُورًا 
Hakika Mwenyezi Mungu hawapendi wenye kiburi wanao jifakhiri
Surah An-Nisa - 36

Hapa kuna baadhi ya mithali kutoka nchi mbalimbali juu ya kanuni hiyo hiyo.
Kifaransa:
Qui fait le malin tombe dans le ravin
Mwerevu huanguka kwenye bonde
Kirusi:
Сатана гордился, с неба свалился; фараон гордился, в море утопился; а мы гордимся - куда годимся?
Shetani alikuwa na kiburi, akaanguka kutoka mbinguni; Firauni alikuwa na kiburi, akazama baharini; na tunajivunia - tunafaa wapi?
Kiingereza:
The bigger they come, the harder they fall.
Kadiri wanavyokuwa wakubwa, ndivyo wanavyozidi kuanguka.
Maelezo Mchoro na Caspar David Friedrich, mwaka wa 1817, "Wanderer above the Sea of Fog / Der Wanderer über dem Nebelmeer / Msafiri Juu ya Bahari ya Ukungu"
Marejeleo
Loading...
Loading...
Ingia akaunti yako ili kuona na kutoa maoni
Umewahi kuona mhunzi akifanya kazi? Au labda ulimwoma fundi akitengeza glass (kioo)? Si ni ajabu sana? (Ukitaka kuona kwa macho yako, tembelea Shanga Foundation Arusha, au tazama videos kwenye links hapo chini - ona Rasilimali).

Katika uzoefu wetu, glasi ni ngumu, yaani haikunji kabisa. Ukitumia nguvu zako zote, kio kitavunjika mkononi mwako na kukuumiza. Lakini hakika kioo hutengenezwa kwa kuyeyusha mchanga, mabichi na laini kama udongo.

Maishani kuna mambo ambayo yanaonekana kuwa magumu, yaani hayabadiliki kabisa, hayapindi. Tukitumia nguvu zetu zote, yataharibika tu na kutuumiza. Lakini fundi mwenye ujuzi anaweza kuyafanya kuwa mepesi na laini, kwa kuyatayarisha ipasavyo, na kuchukua hatua sahihi kwa wakati ufaao.

Methali hii hutumika sana kwa maana "chukua hatua haraka fursa inapotokea, ili usiikose." Kama WaSwahili wanavyosema "Samaki mkunje angali mbichi." Ona pia There is a tide:
Majambo ya binadamu yana kujaa na kupwa, Yakidakwa yamejaa huongoza ushindini; yakipuuzwa, safari yote ya maisha yao haiachi maji mafu, na hujaa madhilifu.
- BURUTO katika Juliasi Kaizari, na William Shakespeare (ilitafsiriwa na Mwalimu Nyerere)
Hata hivyo, ikumbukwe kwenye tamthilia hii, ushauri huu ulikuwa na madhara mabaya kwake, maana Buruto hakushinda baada ya hotuba hii (soma zaidi...)

Lugha na tamaduni nyingi zina methali zinazofanana sana na hii. Labda methali hizo zina chimbuko nyingi tofauti zisizotegemeana. 

KiChina: 趁熱打鐵
KiThai: ตีเหล็กเมื่อแดง
KiHindi: लोहा गरम हैं. मार दो हथौड़ा.
KiGaelic (Ireland): buail an t-iarann te
Kiingereza: Strike while the iron is hot.

...

Picha: Walimu wa Elimu Yetu wakijifunza ufundi wa kioo wakitemeblea Shanga, Arusha, Tanzania

Iliharirishwa miezi 5 iliyopita
by
Je, umewahi kuona muda huenda pole pole wakati unasubiri? Lakini kwa upande mwingine, ukivutiwa na mambo mengine, m muda huenda haraka.

Kwa mfano, ukisubiri kumwona daktari, muda ni mfupi ukiangalia simu yako au kusoma gazeti, badala ya kungoja tu kusikia jina lako liitwe.

Chimbuko cha methali hii ni Benjamin Franklin kwa Poor Richard's Almanac, hata hivyo haionekani hapo. Badala yake, Franklin aliitumia katika insha juu ya 'sumaku ya wanyama' mwaka 1785. 
Nilikuwa na Njaa sana; ilikuwa imechelewa sana; "Sufuria inayotazamwa huchemka pole pole," kama Poor Richard asemavyo.
...
Iliharirishwa miezi 5 iliyopita
by
by Ibrahim Nyanda
🏆 Proverb Essay Contest
"Why is it that our village is not developed compared to other villages around us? Many young people our age from other villages have studied, and some have found their meaningful jobs in the city. Although there's a school in our village, we young people aren't doing well in school. When teachers are hired, they don’t stay long, they leave. What is there here in Bombambili?” These were the questions that the young man Akilimali asked his friend Manase while they were grazing the cattle. 

After this question, Manese seemed immersed in a great wave of thoughts ,and after considering for a while, he turned to his friend, looked at him deeply and asked him, “Do you believe in witchcraft?” Akilimali answered by nodding his head in agreement and said, “I believe, because I’ve often seen people going to witch doctors, and when they go through difficulties, they believe they've been bewitched. Don’t you remember the other day when we were told that Granny Andunje was found on the roof of old man Masanja stark naked, practicing witchcraft at night. So after that, how can I not believe, my friend?”

Manase looked at Akilimali carefully and then said to him “I want to tell you a secret that you won’t believe... Do you know your mother and your sister are witches?” Akilimali remained dumbfounded like a lizard caught in a door, and then, swelling with anger, he told Manase “Woah, hey kid, don’t start bringing me this nonsense, you stop calling my mom a witch or I’ll show you something you won’t believe with your eyes, ohoooo!!” 

Manase calmed his friend Akilimali, then told him “Wait for me to return the cows to the neighbor, then I’ll tell you the whole story. I know you’ll understand, you just chill out. “

As soon as he has returned the livestock, Manase began telling Akilimali, “My friend, I want to tell you a secret that I’ve kept for a long time. Everything you see here -- even the lack of development in the village -- it’s because of witchcraft. Every day I see your mom and your sister riding a hyaena. They pass by my mom's house, going to bewitch people...”  Manase paused a little, then continued

"You can’t believe it-- even I didn’t believe it until I was anointed with a special potion and saw them. I’ll give you this potion tonight. Apply it in your eyes and you’ll give me an answer tomorrow.”


After dinner, Akilimali was warming himself by the fire with his dad, outside their mud house thatched with grass, while his mom and sister were inside. He applied the potion as directed... and after ten minutes he saw his sister and his mom riding the hyena like a motorcycle, ready to embark on their voyage to bewitch people!


“Forgive me my friend, it was just anger.” Akilimali spoke these words choking back tears. 

“I knew it. Now you see our village is not developing and even your own mom and sister are involved. Every villager who wants to bring development ends up dead. One day they'll end up like Granny Andunje."

“I’m sure even your dad doesn’t know that your mom and sister are witches, and every day they go out to bewitch people and leave you two a magic trick to make you think they’re around. Go put that potion in your dad's eyes, then you’ll give me an answer” explained Manase. 


That evening, secretly, Akilimali explained to his dad that his sister and his mom were witches, a thing which his dad vehemently denied. 

“Mom, today Dad is watching us; look how he is staring at us,” Akilimali’s sister told their mom, riding the hyena as before, as their dad and brother were outside warming themselves as they usually did.

“I don’t think he sees us; turn the hyena so it looks like we’re heading towards them,” Akilimali’s mom said.

Akilimali says that was the last day he saw his father, because after seeing the hyena carrying his wife and daughter, he bolted like he was running the hundred-meter dash. Indeed, what you don’t know is like the darkness of the night, Akilimali was left in disbelief that all this time he lived with his mom and sister not knowing they were witches.
...
Iliharirishwa miezi 5 iliyopita
by
That which draws our attention, gets more attention. 

A wheel that makes noise is more likely to receive oil than other wheels (that also might need oil). We have limited attention, and thus we give our attention to people, projects and problems that stand out. This proverb asserts that there is not necessarily a correlation between the things we give our attention to and the things that actually need our attention.

Another version of the proverb is "the squeaky wheel gets the grease," and though the origin is unknown, American humorist Josh Billings is commonly attributed through his poem "The Kicker" in 1870
I hate to be a kicker,

I always long for peace,

But the wheel that squeaks the loudest,

Is the one that gets the grease.
 
...
Iliharirishwa miezi 5 iliyopita
by