You need to login to view profiles OR to update your profile

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
New announcements
Discussions
Proverbs

Kuuliza si Ujinga

Join
or login
to VOTE for Proverb of the Month
Votes
0
Updated 4mo ago
by
View this proverb in English
To ask is not ignorance
Watu wengi wanaogopa kuuliza maswali kwa sababu wanahofia kuonwa mjinga. Lakini kuuliza maswali ni njia bora ya kujifunza kutoka kwa wengine. 

Pia kuuliza maswali husaidia wenzako. Je umewahi kusita kuuliza swali kwani ulidhani wengine wameshaelewa... lakini baadaye uligundua hawakuelewa pia? 

Kiingereza
There's no such thing as a stupid question
Sources
Sehemu za mchoro huu zilichorwa na Akili Bandia (AI). Unafikiriaje?
Loading...
Loading...
Login to view and post comments
Tofautisha na linganisha matunda na pipi. Matunda yameiva, yana ladha halisi, yamejaa virutubisho na vitamini -- kweli yanajiuza yenyewe.

Kwa upande mwingine, mfuko wa pipi unalia “nisikilize!”, kwa rangi kali, na kauli mbiu zinazolipuka *BOOM*! Lakini chini au nyuma ya kinachong'aa, tunajua kwa kkweli pipi ni sukari tupu tu yenye rangi na ladha bandia ya matunda.

Kama nyani, binadamu hupenda matunda kwa sababu yanatupatia nishati pamoja na lishe na virutubisho. Pipi hutoa nishati bila lishe halisi (Kalori tupu). Pipi huiga tunda. Usidanganywe!

Kizuri hakihitaji kutangazwa, maana ubora hujieleza yenyewe. Kama wachumi wasemavyo, “demand” inazidi “supply”. Matangazo yanaweza kutuahidi furaha, uzuri, upendo, mali au heshima. Lakini jiulize, je, inawezekana kwa kweli? Coca-Cola sio dawa ya upendo.

Methali hii inatukumbusha thamani ya ubora wa kweli kuliko muonekeano maridadi. Methali hii hutumika wakati msemaji ana mashaka juu ya mtu anayejisifu au kujivunia kupita kiasi.

Tuwe kama kikapu cha matunda: mwazi na mwema. Sifa hizi zitawavuta wengine kwako — angalau wao wanaoelewa kwamba “Chema chajiuza, kibaya chajitembeza!”

Methali zinazohusiana:
Vingaravyo vyote si dhahabu

Don’t judge ya book by it’s cover
Usihukumu kitabu kwa kava yake (muonekeno)

Appearances are deceptive
Maonekano hudanganya
 
高嶺の花
Hana yori dango
Chakula [ni bora] kuliko maua
...
Updated 4mo ago
by
What one person throws away may be useful and valuable to someone else.

This saying is often used to describe either the diversity of human preferences or to express optimism that humans are quite creative when it comes to repurposing or recycling what other people throw away.

For example, entrepreneur Gibson Kiwago, founder of WAGA Tanzania, recycles old laptop batteries to power homes and businesses in Tanzanzia. Check out our E-Waste Reading List!

The notion that people subjectively assess quality has been around a long time. The saying derives from a 17th century proverb:
One man's meat is another man's poison.

Have you ever seen value in something that someone else threw away?
...
Updated 4mo ago
by
Habari zenu wapenzi wa lugha na hekima! Karibuni tena katika kipindi chetu cha leo cha Methali! Methali ya leo ni “Mtoto akilia wembe, mpe.” Je, unaijua? Kwa walezi wengi, inaweza kuonewa… kali sana, au sivyo? Ina maana gani kwako? Je, unakubaliana nayo? Tushirikiane mawazo. 

Nikisikia nitasahau, nikiona nitakumbuka, nikifanya nitaelewa.
-Mwalimu Amos 

Mtoto akitaka wembe, basi mpe ili aelewe kwanini alionywa dhidi ya kucheza nao. Methali hii inaonyesha umuhimu wa kuwapa watu nafasi za kujifunza kutokana na uzoefu wao wenyewe, hata kama wanaweza kuumiwa (kidogo). Vilevile, hata ukikataa kumpa, labda hatatiii na atacheza nao ukiwa nje. Methali hii inaweza kutumika pia kama onyo kwa mtu anayepuuza ushauri au kusisitiza njia yake. Ingawa ni muhimu kusikiliza ushauri na maonyo kutoka kwa wengine, wakati mwingine tunahitaji kuona matokeo ya vitendo vyetu wenyewe ili kuelewa madhara yake. 

Adhabu ya Asili  (Natural Consequences)

Katika eneo la malezi, methali hii inafundisha kanuni ya Natural Consequences (Adhabu Halisi au Adhabu ya Asili). Adhabu ya asili ni matokeo yatakayokuja kwa sababu ya tabia ya mtoto mwenyewe. Tofauti na adhabu ya kutolewa au adhabu ya viboko, adhabu ya asili hujitokeza bila mlezi kujiingilia. Kwa mfano, fikiria kama mwanako amesahau daftari yake nyumbani. Ungefanyaje? Wazazi wengine wanajibu “Singefanya chochote, maana atahitaji kueleza kwa mwalimu wake.” Wengine wanasema “Ningekimbia shuleni ili kumletea daftari, halafu jioni ningempa adhabu.” Ipi bora?  Jibuni hapo chini… 

Swali: Je, mtoto akilia nyoka utampa?

Sawa tumekubaliana mtoto akilia wembe, mpe. Lakini… fikiria kama mtoto analia kitu cha hatari zaidi— je utakubali? Yesu aliwauliza wazazi: “Mtoto akiomba samaki, je, atampa nyoka?” Akilia nyoka, utampa? Wembe unaweza kusababisha jeraha ndogo, lakini si hatari sana kama nyoka mwenye sumu. 
Wewe kama mzazi, utakubali kiasi gani cha hatari ili ajifunze mwenyewe? Kama anaomba kuacha masomo ili kucheza michezo za simu sikuzote? Kama anaomba kumwoa/kumwolewa na mtu ambaye haumwamini katika umri mdogo? Yaani pia kuna maamuzi muhimu ambayo watoto hawako tayari kujifanyia. 
Je wewe kama mzazi unawezaje kuamua au kutambua kama unapaswa kumwokoa / kumlinda mwanako, ama kama unapaswa kumwachia afunzwe na ulimwengu? Wazazi na walezi wote tunaomba maoni yenu!

Nyoka ana madhara.
-Mwalimu Shila  

Utekelezaji wa methali hii katika maisha ya kila siku

Elimu: Watu hukumbuka walichojifunza kwa vitendo kuliko walichoambiwa kwa maneno. Utafute nafasi za kutekeleza kile unachojifunza.
Malezi: Mpe mtoto uhuru na nafasi za kujifunza kupitia uzoefu. Usimtatulie kila jambo, na usiogope anapofeli, kama hakuna hatari wala madhara ya muda mrefu, maana kufeli ni nafasi ya kujifunza kwake.
Kusikiliza: Ukipuuza maonyo na shauri, usishangaye kuona madhara yaliyotabiriwa.
...

Picha hii imetengenezwa na akili bandia (AI)

Updated 4mo ago
by
Our proverb today comes from Swahili.
Ukitaka uvunguni sharti uiname
If you want something underneath [the bed] you must bend down
This proverb is usually used to encourage hard work and dedication. We can't expect to find the things we are searching for unless we are willing to looking in places that aren't easy to reach.

Here's a story that illustrates the proverb. The story is about Mulla Nasreddin, a humorous character often seen in Sufi folklore.
Mulla [Nasreddin] had lost his ring in the living room. He searched for it for a while, but since he could not find it, he went out into the yard and began to look there. His wife, who saw what he was doing, asked: “Mulla, you lost your ring in the room, why are you looking for it in the yard?” Mulla stroked his beard and said: “The room is too dark and I can’t see very well. I came out to the courtyard to look for my ring because there is much more light out here.”
-  Retold by Houman Farzad, Translated from Persian by Diane L. Wilcox (1989)

In English, a similar story is often told with a drunkard looking for money (or keys). Here is a version from the Boston Herald (1924):
[A police officer encountered a man groping about on his hands and knees]
“I lost a $2 bill down on Atlantic avenue,” said the man. “What’s that?” asked the puzzled officer. “You lost a $2 bill on Atlantic avenue? Then why are you hunting around here in Copley square?” “Because,” said the man as he turned away and continued his hunt on his hands and knees, “the light’s better up here.”

This story has come to be known as the streetlight effect in science.

Thank you to one of our members for suggesting this proverb! 🙏
Do you have a proverb to suggest? Share it here!


...

This picture was created using AI. What do you think?

Updated 4mo ago
by