Bado tunayo hukumu hapa (duniani);
Tunafundisha tu umwagaji damu, ambayo, ukifundishwa, hurudi
ili lipiza kisasi na kumtesa mvumbuzi: mkono wa haki
huweka viungo vya kikombe chetu cha sumu
Kwa midomo yetu wenyewe. ( Makbeth Act I, Scene 7 )
Chochote apandacho mtu, ndicho atakachovuna ( Wagalatia 6:7 )
善有善報,惡有惡報
Wema hulipwa kwa wema, na ubaya kwa ubaya.
Wie man in den Wald hineinruft, so schallt es heraus
Unacholia msituni, kitasikika tena
Chose promise, chose due
A thing promised is a thing owed.
Долг платежом красен, а займы отдачею.
The beauty of a debt is its payment
Alternative translation: A debt is beautiful when it is paid off, and loans when repaid.
Pacta sunt servanda
Agreements must be kept (an important principle of international law)
口說無憑
Spoken words are no guarantee.
Your word is your bond
Majambo ya binadamu yana kujaa na kupwa, Yakidakwa yamejaa huongoza ushindini; yakipuuzwa, safari yote ya maisha yao haiachi maji mafu, na hujaa madhilifu.
- BURUTO katika Juliasi Kaizari, na William Shakespeare (ilitafsiriwa na Mwalimu Nyerere)
KiChina: 趁熱打鐵
KiThai: ตีเหล็กเมื่อแดง
KiHindi: लोहा गरम हैं. मार दो हथौड़ा.
KiGaelic (Ireland): buail an t-iarann te
Kiingereza: Strike while the iron is hot.
Picha: Walimu wa Elimu Yetu wakijifunza ufundi wa kioo wakitemeblea Shanga, Arusha, Tanzania
One man's meat is another man's poison
Nyama na mtu mmoja ni sumu ya mtu mwengine
Silaha za siku hizi ni kalamu na karatasi.
- Methali ya Kiswahili
"Ukinipa picha, nitakupa vita."
- William Randolph Hearst
(Mwandishi wa habari na mchapishaji wa magazeti, Marekani)
Dhibiti kinywa chako kwa uangalifu ...[ILIKATA]... na ufanye moyo wako kuwa mzito(?), kwa maana neno linalosemwa ni kama ndege, naye alitamkaye ni kama mtu asiye na ...[ILIKATA]... ufundi wa maneno una nguvu zaidi kuliko ufundi wa ...[ILIKATA]...
- Hadithi ya Ahikar, Ukurasa wa 171/274
Kwa maana neno la Mungu ni hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili.
Waebrania 4:12, Biblia
Wengi wanaovaa panga huogopa kalamu.
-William Shakespeare
Tamthilia ya Hamlet, Sehemu ya 2, Onyesho la II (ukurasa wa 59)
CC BY Unaruhusiwa kunakili & kusambaza mchoro huu na makala hii bila idhini, ukitaja tu chanzo (www.maktaba.org)