You need to login to view profiles OR to update your profile

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
New announcements
Discussions
Proverbs

Hunger is the best sauce

Join
or login
to VOTE for Proverb of the Month
Votes
1
Updated 4mo ago
by
View this proverb in Swahili
Njaa ni mchuzi bora
As the appetite increases, food tastes better.

The proverb first appeared in Miguel de Cervantes' Don Quixote, published in 1615 (in Part II, Chapter V)

Parents often say this to their children when they are fussy eaters.
Sources
Loading...
Loading...
Login to view and post comments
One day a renown businessman wanted to hire an assistant. He received many resumes, but only two candidates met his high standards: Alice and Bob. To help him decide, he called both, and they each agreed to come in for an interview the following morning. "9 AM. Look sharp and don't be late." The manager warned.

The next morning Alice woke up early, donned her best suit and got to the village bus station at 8:00am. "Better safe than sorry," she thought.  On the way to town, the front of the minibus began to smoke. The driver pulled over in the bush and told all the passengers to get out. Just then it started to rain. Alice tried to wave down each bus that passed, but they were all full, so she had to walk on foot. 9am came and went, but Alice was still miles from town and the rain was getting harder. "I must keep going." she thought, "Better late than never."

Meanwhile in town, Bob woke up in his apartment, and saw the sun was high in the sky. He sat up suddenly. "Oh no! Why did my alarm fail?" He looked at the clock on his wall: 9:00 am. "Forget it. Even if I leave right now, I'll still be late, and they'll never hire someone who is late." So Bob, feeling depressed, went back to sleep.

At 10:30, Alice finally made it to the office and knocked on the door, her neatly pressed suit now dripping and muddy. The businessman answered.
"I warned you to be on time, yet you are over an hour late, how can you expect me to give you this job?"
Then Alice explained all that had happened.
"I have learned a lot about you from this story, Alice. When you have a purpose in mind, you persist despite and obstacles and don't give up, even when it seems too late. In fact, you are the first to arrive today. The other candidate did not show up at all. The job is yours."

Great achievements and inventions often begin with a lot of failures, but in the long run, persistence and learning are rewarded.  People make a lot of mistakes (to err is human), but life is very patient with us, giving us lots of chances to learn from them and try again, as long as we don't give up.

Some say the proverb "Better late than never" comes from The Canterbury Tales, written by Chaucer around the 1390s.
Better than never is late -  The Canon's Yeoman's Tale  
Others trace the proverb to an even earlier origin, in Livy's History of Rome, written around 20 BC:
There was no end to it; tribunes of the commons and patricians could not subsist in the same state; either the one order or the other office must be abolished; and that a stop should be put to presumption and temerity rather late than never. - Livy, History of Rome, Book 4

A similar saying in English is "It's never too late." 
Here's a proverb that relates to the same principle in Hindi:
जब जाति तब सवेरे
Whenever you wake up, that’s your morning

And here's an English proverb that often means the opposite of this one:
Don't close the stable door after the horse has bolted

...

Imagine you woke up late for a job interview. What would you do? Would you scramble to get dressed and make it to the meeting as quickly as possible? Or would you think "Forget it, it's not worth going at all now"? Next time you think "It's too late" try telling yourself "Better late than never." For example, this Proverb of the Day was posted late, but at least you're reading it now - Thanks!

Updated 4mo ago
by
Kuna vitu ambavyo huwezi kufanya peke yako. Tango ni mchezo (densi) ya watu wawili, kwa hivyo huwezi kucheza tango peke yako.

Methali hii inatoka wimbo ulioimbwa 1952, It Takes Two to Tango:
Unaweza kusafiri kwa meli peke yako,
kulala au kupumzika peke yako.
Unaweza kuingia kwenye deni peke yako.
Kuna mambo mengi ambayo unaweza kufanya peke yako.
Lakini ni lazima muwe wawili ili kucheza tango, muwe wawili ili kucheza tango...
- It Takes Two to Tango (1952, Al Hoffman, Dick Manning na Pearl Bailey) Ona vyanzo/sources ili kusikiliza wimbo huu!

Methali hii ina maana nyingi tofauti ambazo unaweza kutekeleza katika mahusiano na maisha yako ya kila siku. Mambo mengi huhitaji watu zaidi ya mmoja: Wawili wanatakiwa ili kushirikiana, kufanya biashara ama kupigana. Ukitaka kucheza na mtu ambaye hataki kucheza na wewe, bora kumtafuta mchezaji mwengine.. Vivyo hivyo, ukiwa kwenye mgogoro au magomvi, itabidi ufikirie jinsi tabia yako inavyoweza kuchangia katika kuendeleza shida. katika dance, lengo si kuwa mkamilifu, bali ni kuendana na mwenzako na kufurahia pamoja.
Methali zinazofanana kutoka Afrika: 
Kimisri (Kiarabu): 
ايد لوحدها ماتسقفش‎
Mkono mmoja hauwezi kupiga makofi
Kiswahili:
Bila mtu wa pili ugomvi hauanzi
Kidole kimoja hakiuwi chawa
...
Updated 4mo ago
by
Je, umewahi kuona muda huenda pole pole wakati unasubiri? Lakini kwa upande mwingine, ukivutiwa na mambo mengine, m muda huenda haraka.

Kwa mfano, ukisubiri kumwona daktari, muda ni mfupi ukiangalia simu yako au kusoma gazeti, badala ya kungoja tu kusikia jina lako liitwe.

Chimbuko cha methali hii ni Benjamin Franklin kwa Poor Richard's Almanac, hata hivyo haionekani hapo. Badala yake, Franklin aliitumia katika insha juu ya 'sumaku ya wanyama' mwaka 1785. 
Nilikuwa na Njaa sana; ilikuwa imechelewa sana; "Sufuria inayotazamwa huchemka pole pole," kama Poor Richard asemavyo.
...
Updated 4mo ago
by
"na Ibrahim Nyanda
🏆 Shindano la Insha ya Methali
“Ni kwa nini kijiji chetu hakina maendeleo ukilinganisha na vijiji vingine vinavyotuzunguka? Vijana wengi kutoka vijiji vingine wa umri wetu wamesoma na wengine wana kazi zao za maana huko mjini. Pamoja na kwamba kuna shule kijijini kwetu lakini vijana hatufanyi vizuri shuleni na hata walimu wanapoajiriwa hawakai muda mrefu wanahama. Kuna nini hapa Bombambili?" Haya ni maswali ambayo kijana Akilimali alimwuliza rafiki yake Manase wakiwa machungani wakilisha ng’ombe. 

Mara baada ya swali hili Manase alionekana amezama katika wimbi kubwa la mawazo na mara baada ya kufikiri kwa muda alimgeukia rafiki yake Akilimali na kumtazama kwa kina kiaha akamwuliza, “Unaamini kuhusu ushirikina” Akilimali alijibu kwa kutikisa kichwa kuashiria kukubaliana na swali aliloulizwa na kisha akasema “Naamini kwani mara kadhaa nimekua nikiona watu wakienda kwa waganga na wengine wanapopitia magumu huamini wamerogwa, si unakumbuka juzi bibi Andunje tulivyoambiwa kuwa amekutwa juu ya paa la mzee Masanja uchi wa mnyama akiwanga, sasa mpaka hapo naachaje kuamini mshikaji wangu” 

Manase alimwangalia Akilimali kwa makini kisha akamwambia, "Nataka nikueleze siri moja ambayo huwezi amini……. hivi unajua kama mama yako na dada yako ni wachawi?” Akilimali alibaki ameduwaa mithili ya mjusi aloyebanwa na mlango halafu akiwa amefura kwa hasira akamwambia Manase “Aisee mwanangu usianze kuniletea habari zako za udwanzi hapa, tena koma kabisa kumwambia mama yangu mchawi vinginevyo ntakuja kukufanyia kitu mbaya hutokuja kuamini macho yako, ohoooo!!” 

Manase alimtuliza rafiki ake Akilimali halafu akamwambia, “Ngoja niwarudishe ng’ombe jirani afu nikupe mchapo mzima ulivyo, najua utanielewa we punguza jaziba kwanza” 

Mara baada ya kurudisha mifugo jirani Manase akaanza kumweleza Akilimali, “Rafiki angu nataka nikupe siri hii ambayo nimekaa nayo kwa muda mrefu, chochote unachokiona hapa hata kutokuwepo kwa naendeleo kijijini ni kwa sababu ya ushirikina, kila siku mama yako na dada yako huwa ninawaona wakija nyumbani wamepanda fisi wakimpitia mama kwenda kuwanga…..” Manase alitulia kidogo halafu akaendelea 

“Huwezi kuamini kwani hata mimj nilikua siamini mpaka nilipopakwa dawa na kuwaona, nitakupa hiyo dawa utapaka machoni na utakuja kunipa majibu kesho.” 

Mara baada ya mlo wa usiku Akilimali alikua ameketi akiota moto nje ya nyumba yao ya udongo iliyoezekwa kwa nyasi wakati huo mama yake na dada yake wakiwa ndani na yeye akiwa na baba yake pale nje. Alipaka ile dawa kama alivyoelekezwa na baada ya dakika kumi alimwona dada yake na mama yake wamepanda juu ya fisi mithili ya pikipiki tayari kwa safari ya kwenda kuwanga. 

“Nisamehe sana rafiki angu, ilikua ni hasira tu” aliongea maneno haya Akilimali huku akilengwa na machozi, 

“Mimi nilijua, sasa unavyoona kijijj chetu hakiendelei hata mama yako pia na dada yako wanahusika, inaumiza sana kila mwanakijiji anayetaka kuleta maendeleo anaishia kufa, lazima kuna siku watakuja kuumbuka kama ilivyokua kwa bibi Andunje” 

“Nina uhakika hata baba yako hajui kama mama yako na dada yako ni wachawi na kila siku huwa wanaenda kuwanga na ninyi kuwaachia mauzauza mkijua wapo, nenda kampake baba yako hiyo dawa alafu utanipa majibu” alieleza Manase 

Jioni kwa siri Akilimali alimweleza baba yake kuwa dada yake na mama yake ni wachawi kitu ambacho alipinga vikali. 

“Mama leo baba anatuona, angalia anvyotutumbulia macho” dada yake na Akilimali alimwabia mama yake wakiwa juu ya fisi kama ilivyo ada wakati baba yake na kaka yake wakiwa nje wanaota moto kama ilivyo kawaida yao. 

“Sidhani kama anatuona, hebu geuza fisi tuwe kama tunawaelekea wao” ailisema mana yake na Akilimali.

Akilimali anasema hiyo ndiyo ilikua siku ya mwisho kumwona baba yake kwani baada ya kuona fisi aliyewabeba mke wake na binti yake alitimua mbio kama anashundana mashindano ya mbio za mita mia. Ama kweli usilolijua ni kama usiku wa giza, Akilimali alibaki haamini kama kwa muda wote huo ameishi na mama yake na dada yake bila kujua kuwa ni wachawi. 
...