You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Utamaduni wa Usomaji Tanzania
Kimeandikwa na Mugyabuso M. Mulokozi
sw
Kurasa 18
Pakua 5.6 MB
"...books can teach us, can inspire us, or can refresh our minds with pleasure of a good story well told. Books can break down the isolation of our lives and provide us with a friend wherever we may be." J.K Nyerere "The Importance and Pleasure of Reading" in Freedom and Socialism (1968) "Vitabu ni hazina ya akili na elimu. Hazina ya fedha, dhahabu na majohari jufunguliwa kwa funguo. Ufunguo wa kufungulia hazina za vitabu ni kusoma. Mtu yeyote awezaye kusoma huweza kuingia katika hazina hii akachukua akili na elimu nyingi kama awezavyo kuona." - Robert Shaaban "Vitabu" katika Insha na Mashairi (1967) Makala haya yamekusudiwa kujadili suala la utamaduni wa usomaji katika Tanzania, katika muktadha ... Lengo letu ni kuthamini hali ya usomaji katika nchi yetu , matatizo yanayokwamisha juhudi za kujenga utamaduni wa usomaji, na namna ya kuyakabili. Lakini kabla ya hayo tutaangalia kwanza historia fupi ya uandishi na usomaji katika Tanzania kuanzia zama za kuingizwa kwa hati ya Kiarabu (karne ya 10) hadi leo...
...
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all