→ Vitabu 20+ kwa Siku ya Sheria ←
- kama Binadamu: Taarifa ya Ulimwengu juu ya Haki za Binadamu (Kiing: Universal Declaration of Human Rights)
- kama Raia wa Tanzania: Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Kiing: Constitutution of the United Republic of Tanzania)
- kama Mfanyakazi: Kanuni za Ajira na Mahusiano Kazini (Kiing: Employment and Labor Relations Act)
- kama Mzazi: Misingi Mikuu ya Utawala kwa Kila Kamati ya Shule (Kiing: Key Principles for Every School Community)
- kama Mmiliki wa Ardhi: Usimamizi wa Umiliki wa Ardhi (Kiing: Voluntary Guidelines on Tenure)
- kama Mwanamke: Kiongozi cha Sheria
- Juu ya mambo ya Mirathi na Wosia: Mirathi Nchini Tanzania
Elimu ya Uraia:
- Mjue Diwani
- Taratibu za Mahakama na jinsi ya kujitetea: Mwongozo wa Watumiaji wa Huduma za Mahakama
- Kanuni za Maadili ya Utendaji katika Utumishi wa Umma
- Kinachoonekana na Kisichoonekana (Kiing: What is Seen and What is Not Seen)
- Misingi ya Jamii Huru (Kiing: Foundations of a Free Society)
- Indigenous African Institutions
- Azimio la Arusha (Kiing: The Arusha Declaration)
Vitabu maarafu vinavyopatikana kwa kiingereza pekee:
- Plato's Republic
- Machiavelli's The Prince
- Toqueville's Democracy in America
- Bastiat's The Law
- The Declaration of Independence & Constitution (USA)
- More books about Open Culture, Copyright Law & Privacy
Lakini pia ukiwa Arusha, tuna vitabu vya nakala ngumu juu ya sheria vinapatikana kwa kuazima bure kabisa katika Maktaba ya Elimu Yetu, Kijenge Tindigani).
~ Maktaba.org