You are now browsing in English. Switch to Swahili
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiingereza. Rudi kwa Kiswahili"
You need to login to view profiles OR to update your profile

Create a new account

New announcements
Discussions
Proverbs

Ukitaka cha uvunguni sharti uiname

Join
or login
to VOTE for Proverb of the Month
Votes
0
Updated 5mo ago
by
Methali yetu ya leo inasemwa pia kama:
Mtaka cha mvunguni sharti ainame
Methali hii hutumika kuwahimiza watu kufanya kazi kwa bidii na kujitahidi. Hatupaswi kutarajia kupata vitu tunavyotafuta isipokuwa tumekubali kuvitafuta katika mahali ambapo ni vigumu kupafikia.

Hapa kuna hadithi fupi inayoeleza methali hii, juu ya Mulla Nasreddin, mhusika mcheshi katika ngano za Kisufi.
Mulla [Nasreddin] alikuwa amepoteza pete yake sebuleni. Aliitafuta kwa muda, lakini kwa kuwa hakuipata, alitoka nje hadi uani na kuanza kuchungulia pale. Mkewe, ambaye aliona alichokifanya, akamwuliza: “Mulla, umepoteza pete yako sebuleni , kwa nini unaitafuta uani?” Mulla alishika ndevu zake akisema: “Chumbani kuna giza na sioni vizuri. Nilitoka nje kwenda uani ili kutafuta pete yangu kwa sababu kuna mwanga mwingi zaidi hapa.
- Usimulizi wa Houman Farzad. Imetafsiriwa kwa Kiingereza kutoka lugha ya Kiajemi na Diane L. Wilcox (1989), halafu nimeitafsiri kwa Kiswahili.

Kwa Kiingereza, kuna hadithi inayosimuliwa juu ya mlevi anayetafuta pesa (au funguo) karibu na taa. Hili ni toleo liliochapishwa katika gazeti ya Boston Herald (mwaka wa 1924): 
[Afisa wa polisi alikutana na mwanamume akipapasa-papasa akipiga magoti] “Nilipoteza noti ya $2 kwenye barabara ya Atlantic,” kasema mwanamume huyo. "Nini kile?" aliuliza afisa aliyeshangaa. "Umepoteza notiya $2 kwenye barabara ya Atlantic? Kwa nini basi unaitafuta hapa Copley Square?" “Kwa sababu,” akasema akiendelea na utafutaji wake, “mwanga ni bora hapa."

Hadithi hii imekuja kujulikana kama "Streetlight effect" katika sayansi.

Asante kwa mshiriki mwenzetu kwa kupendekeza methali hii! Je, una methali ya kupendekeza? Shiriki hapa!
Details Mchoro huu umetengenezwa kwa kutumia Akili Bandia (AI). Unafikiriaje?
Sources
Streetlight Effect (Wikipedia)
A short story (Insha) about the essay in Kiswahili - https://middemb.com/insha-ya-mtaka-cha-mvunguni-sharti-ainame/
Nasreddin (Wikipedia)
History of the Streetlight Principle story on Quote Investigator
1989, Classic Tales of Mulla Nasreddin, Retold by Houman Farzad, Translated from Persian by Diane L. Wilcox, Looking for the Missing Ring, Quote Page 26, Mazda Publishers, Costa Mesa, California. (Verified with scans by Quote Investigator; thanks to Stephen Goranson and Duke University library system) 

1924 May 24, Boston Herald, Whiting’s Column: Tammany Has Learned That This Is No Time for Political Bosses, Quote Page
2, Column 1, Boston, Massachusetts. 
Loading...
Loading...
Login to view and post comments
Siku moja, mfanyabiashara mashuhuri alitafuta msaidizi. Alipokea maombi na CV za watu wengi sana, lakini wawili tu walikidhi vigezo: Amina na Baraka. Ili kuamua kati yao, aliwaita wote wawili, na akawaalika waje kwaajili ya mahojiano ya ajira, kesho yake asubuhi. "Saa tatu kamili -- vaa mavazi ya kazi, na usichelewe!" Akawaonya.

Kesho yake Ali aliwahi kuamka, akavaa suti yake nzuri, na alipanda basi kijijini kwake saa 2. "Bora kinga kuliko tiba" alifikiria. Njiani kuelekea mjini, basi ilianza kutoa moshi. Abira wote walishuka na waliachwa porini. Hapo hapo mvua ilianza kunyesha. Kila basi lililompita, Ali akaomba nafasi, lakini, kutokana na hali ya hewa, mabasi yote yalikuwa yameshajaa. Kwa hivyo ikabidi atembee kwa miguu. Ilipotimia saa tatu, bado Ali alikuwa mbali na mji, na mvua ikawa kali zaidi na zaidi. "Lazima niendelee" akajiambia, "Bora kuchelewa kuliko kukosa kabisa."

Wakati huohuo mjini, Baraka aliamka ghorofani kwake, na akashtuka ghafla akiona jua lilikuwa limeshafika mbali angani. "Aisee! Niliweka alarm! Simu yangu ina shida gani sasa?" Alitazama saa ukutani: Saa tatu kamili. "Bora niache tu. Hata nikiondoka saivi, bado nitachelewa kufika. Si alisema usichelewe? Hatamwajiri aliyechelewa." Kwa hivyo Baraka, akiwa na huzuni, akalala tena.

Saa nne na nusu, hatimaye, Ali alifika ofisini kwa mfanyabiashara na kugonga mlango, suti yake ikichuruzika maji na matope sakafuni. Mfanyabiashara akajibu. "Si nilikwambia vaa mavazi yanayofaa na usichelewe? Sasa umechelewa zaidi ya saa limoja na mavazi yako yamechafuka. Niambie nitawezaje kukuajiri baada ya hapo?" Kisha Ali akaeleza yote yaliyomtokea. Mfanyabishara akamjibu "Nimejifunza mengi kuhusu wewe kutoka kwa hadithi yako Ali. Ukiwa na kusudi kichwani, utafanya kazi kwa bidii, na pale unapokutana na vikwazo hukati tamaa, hata kama umechelewa. Nakwambia, wewe ndiye wa kwanza kufika leo. Mwingine alikosa kabisa. Nitakuajiri wewe."

Mafanikio makubwa huanza na makosa mengi, lakini baada ya muda, uvumilivu na ustahilimilu huleta matunda. Kukosa ni uanadamu, lakini Mungu ni mvumilivu sana kwetu. Anatupa nafasi nyingi za kujifunza na kujaribu tena, ilimradi tusikate tamaa.

Wengine wanasema methali ya "Better late than never never" inatoka kwa kitabu cha The Canterbury Tales, kilichoandikwa na Chaucer miaka ya 1390.
Better than never is late
“Bora kuliko kamwe ni kuchelewa
-The Canterbury Tales, The Canon's Yeoman's Tale
Wengine wanasema chimbuko la kweli ni kitabu cha Historia ya Roma, kilichoandikwa na Livy takriban mwaka wa 20 KK.
Lilatini: potiusque sero quam numquam
Bora kuchelewa kuliko kukosa kabisa
- History of Rome, Book 4

Methali ya Kiingereza inayoendana ni:
It's never too late
Hakuna kuchelewa
 Methali ya Kiingereza inayopinga:
Don't close the gate after the horse has bolted.
Usifunge mlango baada ya farasi kukimbia

Methali ya Kihindi: 
जब जाति तब सवेरे
Wakati wowote unapoamka, ndo asubuhi yako

...

Fikiria kama umechelewa Mahojiano ya Ajira. Ungefanyaje? Next time unapofikiri "Nimeshachelewa" jiambie "Bora kuchelewa kuliko kukosa kabisa." Kwa mfano makala hii ya Methali ya Siku ilichelewa, lakini sasa unaisoma - Asante!

Updated 5mo ago
by

Meaning 


In this proverb, the sword signifies force and violence, and the pen stands for words. While the sword can conquer with force, the pen can persuade, inspire, enlighten and motivate people. Not everyone has weapons to force other people to do what they want, but everyone has the power to influence the world through what they think, say and write with words.

Silaha za siku hizi ni kalamu na karatasi.
Today's weapons are pen and paper.
 - Swahili proverb

Part of the reason this proverb is true is that words often motivate and regulate how people use violence and force. For example, through law, the words of leaders, judges and juries have the power to jail people or even kill them. Making a fiery speech to an angry mob might cause a violent riot (see Julius Caesar). 

You furnish the pictures and I'll furnish the war.
- William Randolph Hearst

The proverb also reminds us of the power of nonviolent resistance to bring about lasting political change, a principle advocated and demonstrated by figures like Mahatma Gandhi, Martin Luther King, and Nelson Mandela. (Check out Henry David Thoreau's classic Essay, "Civil Disobedience" and Sophocles famous play, "Antigone")

Origin


The phrase "the pen is mightier than the sword" became popular after Edward Bulwer-Lytton used it in his 1839 play "Richelieu: Or the Conspiracy" (page 47).  But the idea likely originated much earlier.

Some sources attribute the proverb to the Story of Ahikar (which is also the source of the proverb "A bird in the hand is worth two in the bush"). In this edition, the translator was unable to decipher the damaged manuscript and left the sentence unfinished. (Page 171/274
(FRAGMENTS)
Watch carefully over thy mouth ...... and make thy heart slow(?), for the word spoken is like a bird, and he who utters it is like a man without ...
... the craft of the mouth is mightier than the craft of ...... 
Could this be the original source of the proverb from over 2500 years ago? You be the judge...

A similar phrase also appears in the Old Testament: 
For the word of God is quick, and powerful, and sharper than any two-edged sword.
Hebrews 4:12 (KJV)

And in Shakespeare:
 Many wearing rapiers are afraid of goosequills.
-William Shakespeare Hamlet Act 2, scene II (page 59)

Do you agree that the pen is mightier than the sword? Share your opinions below!

...
Updated 5mo ago
by
Have you ever seen a blacksmith at work? Or maybe an artisan shaping hot glass? It's pretty incredible to watch, right? (If not, visit Shanga Foundation in Arusha or check out video links below)
In our everyday experience, glass is hard, brittle and breakable, but glass is actually made by melting sand and shaping it like liquid.

Some things in life seem unchangeable; they just will not bend. If we use all our strength, they only shatter in our hands and hurt us. But a skillful craftsman can make brittle things soft and malleable by preparing them appropriately, and taking decisive action at the right moment.

This proverb is often used to mean that you should take action quickly when an opportunity arises, so that you don't miss it. See also: There is a tide
 There is a tide in the affairs of men,
 Which, taken at the flood, leads on to fortune;
 Omitted, all the voyage of their life
 Is bound in shallows and in miseries.
- Brutus in Julius Caesar, Act 4, Scene 3 by William Shakespeare
However, it's worth noting that in the play, this advice has pretty bad consequences for Brutus, who didn't exactly sail on to fortune after this speech (read more...)

Many cultures and languages have a proverb that is very similar to "Strike while the iron is hot." It seems likely that the proverb has multiple independent origins.
Chinese: 趁熱打鐵
Thai: ตีเหล็กเมื่อแดง
Hindi: लोहा गरम हैं. मार दो हथौड़ा.
Irish: buail an t-iarann te
Swahili: Fua chuma wakati kingali moto

...

Image: Elimu Yetu teachers visit to Shanga Foundation, Arusha, Tanzania

Updated 5mo ago
by
Meaning it's better to be satisfied with what you have, rather than risking it for a chance at a larger reward.

This proverb turns out to be very old indeed. It comes from an ancient book called "The Story of Ahikar" also known as the "Proverbs of Ahiqar." 
My son, a sheep's foot in thine own hand is better than the whole shoulder in the hand of a stranger; better is a lambkin near thee than an ox far away; better is a sparrow held tight in the hand than a thousand birds flying about in the air; better is a hempen robe, that thou hast, than a robe of purple, that thou hast not.
The Story of Ahikar (page 110)
The book tells the story of an advisor to the ancient Assyrian and Egyptian rulers. It was probably written about 600 BCE, with the earliest surviving fragments dating to about 500 CE. 

Similar proverbs from around the world...
French:
Un tiens vaut mieux que deux tu l'auras
A here-you-go is worth more than two you-can-have-it-laters
Japanese
明日の百より今日の五十
Today's 50 over tomorrow's 100
Italian
Meglio un uovo oggi che una gallina domani
Better an egg today than a hen tomorrow

And one more for fun...
"A monkey on the back is worth two in the bush."
-ChatGPT

Do you think this proverb is good advice? When is it better to go with a sure thing now or take a chance and search for something better?
...
Updated 5mo ago
by