Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Mwongozo kwa ajili ya Klabu za Mazingira katika Shule za Msingi
Toleo la Milima ya Tao la Mashariki
Kimeandikwa na
Mchoraji Athuman Mgumia, Susie Wonfor
Mchapishaji Tanzania Forest Conservation Group
Mwaka 2011
sw
Kurasa 27
Ni muhimu sana kuwa na ufahamu kuhusu mazingira, vitu na viumbe vilivyomo na matatizo yake, na ukiweza kupata ufahamu, motisha na kujituma ukiwa shuleni, unaweza kusaidia kuleta mabadiliko katika jamii na katika mazingira unayoishi kwa sasa na baadaye. Mwongozo huu unawapatia walimu na wanafunzi njia ya kuunda klabu ya mazingira, na mbinu za kuifanya klabu iwe endelevu. Mwongozo huu umetayarishwa na Shirika la Kuhifadhi Misitu ya Asili Tanzania (TFCG). TFCG ni shirika lisilo la kiserikali ambalo ujumbe wake ni kuhifadhi na kurudisha bioanuwai ya misitu muhimu kidunia ya Tanzania kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo
...
ISBN: 9987-8958-1-6
Shukrani kwa Tanzania Forest Conservation Group
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.