You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Nilikuwa na Ndoto ya Kumaliza Shule: Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania
Muhtasari na Mependekezo Muhimu
Publisher Human Rights Watch
Published 2017
sw
Pages 20
Download 6.1 MB
Kama ilivyo kwa vijana mamilioni wa Tanzania, Imani, 20, kutoka Mwanza, mkoa wa Kaskazini Magharibi uliyopakana na Ziwa Victoria, alitaka kusoma kadri awezavyo ili aweze kuhitimu, kupata kazi, na aweze kujikimu na kusaidia familia yake. Napenda kusoma ili niwe na mawazo mapana. Hakuna ambacho sikupenda kusoma. Nilikuwa na ndoto ya kumaliza shule niende chuo nihitimu, na nifanye kazi kama muhasibu.1> Matarajio ya Imani yalibadilika alipokutana na Changamoto katika elimu yake ya sekondari.
...
Ni Muhtasari uliofupishwa wa Repoti ya Human Rights Watch baada ya utafiti uliofanyika katika Mwanza, Tanzania. Soma reporti nzima hapa kwa Kiingerenza
...
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all