Uandaaji wa mwongozo huu umeainisha taratibu mbalimbali
zitumikazo katika kusikiliza mashauri ya jinai na madai na
umezingatia -
- 1. Muundo na mamlaka ya Mahakama;
- 2. Taratibu za ufunguaji Mashauri ya Jinai, Madai, Ndoa, Mirathi, Kazi, Biashara, Ardhi na katika Mahakama za watoto;
- 3. Taratibu za rufaa na nafuu zinginezo kama marejeo, mapitio na masahihisho;
- 4. Ada mbalimbali;
- 5. Taratibu za dhamana;
- 6. Ushahidi na namna ya kuthibitisha;
- 7. Upatikanaji wa hukumu;
- 8. Utekelezaji wa hukumu; na
- 9. Taratibu za kupokea na kusikiliza malalamiko.
...
Shukrani kwa Tanzania Legal Information Institute
Download free pdfs
eVitabu vya bure kwa somo
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana:
Browse all
No Books Found
Based on the filters you selected, there are currently no books.