You are now browsing in English. Switch to Swahili
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiingereza. Rudi kwa Kiswahili"
You need to login to view profiles OR to update your profile

Create a new account

New announcements
Discussions
Proverbs

Bora kuchelewa kuliko kukosa kabisa

Join
or login
to VOTE for Proverb of the Month
Votes
0
Updated 5mo ago
by
View this proverb in English
Better late than never
Siku moja, mfanyabiashara mashuhuri alitafuta msaidizi. Alipokea maombi na CV za watu wengi sana, lakini wawili tu walikidhi vigezo: Amina na Baraka. Ili kuamua kati yao, aliwaita wote wawili, na akawaalika waje kwaajili ya mahojiano ya ajira, kesho yake asubuhi. "Saa tatu kamili -- vaa mavazi ya kazi, na usichelewe!" Akawaonya.

Kesho yake Ali aliwahi kuamka, akavaa suti yake nzuri, na alipanda basi kijijini kwake saa 2. "Bora kinga kuliko tiba" alifikiria. Njiani kuelekea mjini, basi ilianza kutoa moshi. Abira wote walishuka na waliachwa porini. Hapo hapo mvua ilianza kunyesha. Kila basi lililompita, Ali akaomba nafasi, lakini, kutokana na hali ya hewa, mabasi yote yalikuwa yameshajaa. Kwa hivyo ikabidi atembee kwa miguu. Ilipotimia saa tatu, bado Ali alikuwa mbali na mji, na mvua ikawa kali zaidi na zaidi. "Lazima niendelee" akajiambia, "Bora kuchelewa kuliko kukosa kabisa."

Wakati huohuo mjini, Baraka aliamka ghorofani kwake, na akashtuka ghafla akiona jua lilikuwa limeshafika mbali angani. "Aisee! Niliweka alarm! Simu yangu ina shida gani sasa?" Alitazama saa ukutani: Saa tatu kamili. "Bora niache tu. Hata nikiondoka saivi, bado nitachelewa kufika. Si alisema usichelewe? Hatamwajiri aliyechelewa." Kwa hivyo Baraka, akiwa na huzuni, akalala tena.

Saa nne na nusu, hatimaye, Ali alifika ofisini kwa mfanyabiashara na kugonga mlango, suti yake ikichuruzika maji na matope sakafuni. Mfanyabiashara akajibu. "Si nilikwambia vaa mavazi yanayofaa na usichelewe? Sasa umechelewa zaidi ya saa limoja na mavazi yako yamechafuka. Niambie nitawezaje kukuajiri baada ya hapo?" Kisha Ali akaeleza yote yaliyomtokea. Mfanyabishara akamjibu "Nimejifunza mengi kuhusu wewe kutoka kwa hadithi yako Ali. Ukiwa na kusudi kichwani, utafanya kazi kwa bidii, na pale unapokutana na vikwazo hukati tamaa, hata kama umechelewa. Nakwambia, wewe ndiye wa kwanza kufika leo. Mwingine alikosa kabisa. Nitakuajiri wewe."

Mafanikio makubwa huanza na makosa mengi, lakini baada ya muda, uvumilivu na ustahilimilu huleta matunda. Kukosa ni uanadamu, lakini Mungu ni mvumilivu sana kwetu. Anatupa nafasi nyingi za kujifunza na kujaribu tena, ilimradi tusikate tamaa.

Wengine wanasema methali ya "Better late than never never" inatoka kwa kitabu cha The Canterbury Tales, kilichoandikwa na Chaucer miaka ya 1390.
Better than never is late
“Bora kuliko kamwe ni kuchelewa
-The Canterbury Tales, The Canon's Yeoman's Tale
Wengine wanasema chimbuko la kweli ni kitabu cha Historia ya Roma, kilichoandikwa na Livy takriban mwaka wa 20 KK.
Lilatini: potiusque sero quam numquam
Bora kuchelewa kuliko kukosa kabisa
- History of Rome, Book 4

Methali ya Kiingereza inayoendana ni:
It's never too late
Hakuna kuchelewa
 Methali ya Kiingereza inayopinga:
Don't close the gate after the horse has bolted.
Usifunge mlango baada ya farasi kukimbia

Methali ya Kihindi: 
जब जाति तब सवेरे
Wakati wowote unapoamka, ndo asubuhi yako

Details Fikiria kama umechelewa Mahojiano ya Ajira. Ungefanyaje? Next time unapofikiri "Nimeshachelewa" jiambie "Bora kuchelewa kuliko kukosa kabisa." Kwa mfano makala hii ya Methali ya Siku ilichelewa, lakini sasa unaisoma - Asante!
Sources
The Canterbury Tales, The Canon's Yeoman's Tale
History of Rome, Book 4

Better late than never (Wiktionary)
Close the stable door after the horse has bolted (Wiktionary
Loading...
Loading...
Login to view and post comments

Do you have a big dream?

A dream too big for you to ever accomplish on your own? Maybe even too big to be accomplished in one generation?

Some gothic cathedrals in Europe took over 600 years -- more than 20 generations -- to complete! Although the Great Pyramid of Giza seems to have been built much faster (in a single generation), it also took tens of thousands of people.

In Tanzania, the Great Mosque of Kilwa was built in the 11th-14th centuries, rebuilt after earthquake damage, and continued to be remodeled up to the 18th century. It was described in the 1300s by Ibn Battuta. (You can take a 3D virtual tour of Kilwa! Check out the link in sources.)

The wonders of the world, modern and ancient, began as big dreams, dreams that took many generations to fulfill. Each generation continued the work of the past and also contributed to revising the blueprints for the future.

So if you are trying to do something great -- something that will really change the world -- don't expect to do it in one day. And don't try to do it alone. 

Related proverbs:


 Swahili:
Ukitaka kwenda haraka, nenda peke yako, ukitaka kwenda mbali, nenda na wenzako
If you want to go fast, go alone, if you want to go far, go together 

French:
Rome ne fu[t] pas faite toute en un jour
from Li Proverbe au Vilain, published around 1190
Modern French: Rome ne s'est pas faite en un jour
Rome wasn't built in a day

Chinese:
冰凍三尺,非一日之寒
Three feet of ice is not the result of one cold day

Scottish Gaelic
Chan ann leis a’ chiad bhuille a thuiteas a’ chraobh
It is not with the first strike that the tree will fall
...

Image credit: Screenshot from 3D virtual tour of Kilwa Kisiwani created by Zamani Project

Updated 5mo ago
by
It’s a simple and profound truth about human relationships: Making a promise means creating an expectation in others. When we fail to keep our promises, we damage our relationships and our reputation. Next time you make a promise, ask yourself, "Would I sign a contract that said this?"

French
Chose promise, chose due 
A thing promised is a thing owed. 
Russian:
Долг платежом красен, а займы отдачею. 
The beauty of a debt is its payment 
Alternative translation: A debt is beautiful when it is paid off, and loans when repaid.
Latin:
Pacta sunt servanda
Agreements must be kept (an important principle of international law)
Chinese
口說無憑
Spoken words are no guarantee.
English
Your word is your bond

What do you think? Is a promise as strong as a contract?
...
Updated 5mo ago
by
by Ibrahim Nyanda
🏆 Proverb Essay Contest
"Why is it that our village is not developed compared to other villages around us? Many young people our age from other villages have studied, and some have found their meaningful jobs in the city. Although there's a school in our village, we young people aren't doing well in school. When teachers are hired, they don’t stay long, they leave. What is there here in Bombambili?” These were the questions that the young man Akilimali asked his friend Manase while they were grazing the cattle. 

After this question, Manese seemed immersed in a great wave of thoughts ,and after considering for a while, he turned to his friend, looked at him deeply and asked him, “Do you believe in witchcraft?” Akilimali answered by nodding his head in agreement and said, “I believe, because I’ve often seen people going to witch doctors, and when they go through difficulties, they believe they've been bewitched. Don’t you remember the other day when we were told that Granny Andunje was found on the roof of old man Masanja stark naked, practicing witchcraft at night. So after that, how can I not believe, my friend?”

Manase looked at Akilimali carefully and then said to him “I want to tell you a secret that you won’t believe... Do you know your mother and your sister are witches?” Akilimali remained dumbfounded like a lizard caught in a door, and then, swelling with anger, he told Manase “Woah, hey kid, don’t start bringing me this nonsense, you stop calling my mom a witch or I’ll show you something you won’t believe with your eyes, ohoooo!!” 

Manase calmed his friend Akilimali, then told him “Wait for me to return the cows to the neighbor, then I’ll tell you the whole story. I know you’ll understand, you just chill out. “

As soon as he has returned the livestock, Manase began telling Akilimali, “My friend, I want to tell you a secret that I’ve kept for a long time. Everything you see here -- even the lack of development in the village -- it’s because of witchcraft. Every day I see your mom and your sister riding a hyaena. They pass by my mom's house, going to bewitch people...”  Manase paused a little, then continued

"You can’t believe it-- even I didn’t believe it until I was anointed with a special potion and saw them. I’ll give you this potion tonight. Apply it in your eyes and you’ll give me an answer tomorrow.”


After dinner, Akilimali was warming himself by the fire with his dad, outside their mud house thatched with grass, while his mom and sister were inside. He applied the potion as directed... and after ten minutes he saw his sister and his mom riding the hyena like a motorcycle, ready to embark on their voyage to bewitch people!


“Forgive me my friend, it was just anger.” Akilimali spoke these words choking back tears. 

“I knew it. Now you see our village is not developing and even your own mom and sister are involved. Every villager who wants to bring development ends up dead. One day they'll end up like Granny Andunje."

“I’m sure even your dad doesn’t know that your mom and sister are witches, and every day they go out to bewitch people and leave you two a magic trick to make you think they’re around. Go put that potion in your dad's eyes, then you’ll give me an answer” explained Manase. 


That evening, secretly, Akilimali explained to his dad that his sister and his mom were witches, a thing which his dad vehemently denied. 

“Mom, today Dad is watching us; look how he is staring at us,” Akilimali’s sister told their mom, riding the hyena as before, as their dad and brother were outside warming themselves as they usually did.

“I don’t think he sees us; turn the hyena so it looks like we’re heading towards them,” Akilimali’s mom said.

Akilimali says that was the last day he saw his father, because after seeing the hyena carrying his wife and daughter, he bolted like he was running the hundred-meter dash. Indeed, what you don’t know is like the darkness of the night, Akilimali was left in disbelief that all this time he lived with his mom and sister not knowing they were witches.
...
Updated 5mo ago
by
Kuna vitu ambavyo huwezi kufanya peke yako. Tango ni mchezo (densi) ya watu wawili, kwa hivyo huwezi kucheza tango peke yako.

Methali hii inatoka wimbo ulioimbwa 1952, It Takes Two to Tango:
Unaweza kusafiri kwa meli peke yako,
kulala au kupumzika peke yako.
Unaweza kuingia kwenye deni peke yako.
Kuna mambo mengi ambayo unaweza kufanya peke yako.
Lakini ni lazima muwe wawili ili kucheza tango, muwe wawili ili kucheza tango...
- It Takes Two to Tango (1952, Al Hoffman, Dick Manning na Pearl Bailey) Ona vyanzo/sources ili kusikiliza wimbo huu!

Methali hii ina maana nyingi tofauti ambazo unaweza kutekeleza katika mahusiano na maisha yako ya kila siku. Mambo mengi huhitaji watu zaidi ya mmoja: Wawili wanatakiwa ili kushirikiana, kufanya biashara ama kupigana. Ukitaka kucheza na mtu ambaye hataki kucheza na wewe, bora kumtafuta mchezaji mwengine.. Vivyo hivyo, ukiwa kwenye mgogoro au magomvi, itabidi ufikirie jinsi tabia yako inavyoweza kuchangia katika kuendeleza shida. katika dance, lengo si kuwa mkamilifu, bali ni kuendana na mwenzako na kufurahia pamoja.
Methali zinazofanana kutoka Afrika: 
Kimisri (Kiarabu): 
ايد لوحدها ماتسقفش‎
Mkono mmoja hauwezi kupiga makofi
Kiswahili:
Bila mtu wa pili ugomvi hauanzi
Kidole kimoja hakiuwi chawa
...
Updated 5mo ago
by