
Naitwa Erick Lema, natokea Arusha,kijenge. Nasoma Elimu yetu masomo ya computer mapishi biashara mziki maigizo na English course. Napenda huduma ya maktaba na ushirikiano wa mkutubi wetu katika kuhamasisha kusoma vitabu. Asante Sanaa kwa tovuti hii Bora ya kujisomea vitabu popote pale.