You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Moduli kwa Shule za Msingi: Darasa la 1 - 2
Publisher Taasisi ya Elimu Tanzania (TET)
sw
Mafunzo kazini kwa walimu ni muhimu ili kuboresha ufundishaji na ujifunzaji. Mafunzo haya humwezesha mwalimu kujenga umahiri wa kutekeleza mtaala wa darasa la I na II kwa ufanisi. Moduli hii imeandaliwa ili kukujengea umahiri wa kufundisha masuala mtambuka. Aidha, utajifunza namna ya kumwezesha mwanafunzi kujenga umahiri wa Elimu ya mazingira, Mazingira salama kwa mtoto, Haki za mtoto, Elimu ya jinsia, Stadi za maisha, VVU na UKIMWI na Elimu jumuishi. Lengo la moduli Lengo la moduli hii ni kukuwezesha kujenga umahiri wa kufundisha masuala mtambuka kwa wanafunzi wa darasa la I na II kwa ufanisi.
...
1. Moduli ya Kufundisha Masuala Mtambuka 2. Moduli ya Kufundisha Kuandika 3. Moduli ya Kufundisha Kuhesabu 4. Moduli ya Kufundisha Kusoma
...
Thank you to Taasisi ya Elimu Tanzania (TET)
Create an account to...
View comments and discuss this book!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all