You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Ufundishaji wa Kusoma - Muongozo wa Mwezeshaji wa Mafunzo
Toleo la Kiswahili, Darasa la 1-2
Publisher 21st Century Basic Education Program (TZ21)
Published 2013
sw
Download
7.7 MB
Muongozo huu ni kwa mwezeshaji atakayeshiriki mafunzo yanayowalenga walimu wanaofundisha Kiswahili darasa la kwanza na la pili. Muongozo huu utatumika sanjari na kitini cha mafunzo ya walimu, muongozo wa mwalimu katika ufundishaji wa usomaji na mawanda na mtiririko wa kufundisha usomaji kwa darasa la kwanza. Hali kadharika, muongozo huu utamsaidia mwenzeshaji kuwa na mpangilio mzuri wenye kufuata hatua kwa hatua ili kumfanya mshiriki wa mafunzo kushiriki kikamilifu katika kujifunza njia fanisi za ufundishaji na ujifunzaji wa usomaji.
...
Muongozo huu wa mwezeshaji wa mafunzo umechapishwa na TZ21 kwa msaada wa watu wa Marekani kupitia shirika la msaada la Marekani (USAID) na kuwezeshwa na Creative Associates International.
...
Thank you to 21st Century Basic Education Program (TZ21)
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all