Sign up for news and free books by email!
Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira
Written by La Via Campesina
Publisher La Via Campesina - International Peasants' Movement
sw
Pages 40
Lengo la kitabu hiki cha mwongozo ni kuonyesha athari za mabadiliko ya tabianchi zinazowakabili wakulima wadogo, lakini pia kugusia suluhisho ambazo wanaweza kuzitumia kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Mwongozo huu umeandaliwa kwa kuzingatia maarifa ya wakulima wadogo kutoka Uganda, Tanzania, Zimbabwe, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kenya, na Msumbiji. Kutokana na ukweli kuwa jamii za zilizoko katika nchi hizo wanategemea sana mazingira asilia na maliasili zake, wamekuwa wahanga wakubwa wa athari za mabadiliko ya tabianchi. Lakini uhusiano wao wa karibu na mazingira umewesha uwepo wa maarifa kutoka kizazi kimoja hadi kingine ambayo yanatumika kukabiliana na janga la mabadiliko ya tabianchi.
...
Kiongozi hiki kimeandaliwa kikiwa ni sehemu ya mradi wa Kuendeleza utetezi wa ulinzi wa hali ya hewa kwa ajili ya manufaa ya wakulima wadogo katika ukanda wa Kusini na Mashariki mwa Afrika uliobuniwa na kutekelezwa kwa kushirikiana na Afrika Kontakt na La Via Campesina kwa upande wa ukanda wa Kusini na Mashariki mwa Afrika (LVC – SEAF), pamoja na michango kutoka kwa marafiki.
...
Thank you to La Via Campesina - International Peasants' Movement
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.