You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Kielekezi cha Ushiriki wa Mtoto
Kimeandikwa na
Mchapishaji Tanzania
Mwaka 2012
sw
Pakua
3.1 MB
Lengo la kielekezi hiki ni kubainisha seti sahili ya maelekezo ya mwongozo wa utekelezaji na mbinu za uwezeshaji katika kuwasiliana na watoto kwa kutumia njia shirikishi. Walengwa wa Kielekezi hiki ni mashirika, asasi na watu binafsi wa Tanzania wenye lengo la kusaidia watoto katika kuyakabili masuala yao ya msingi kupitia, kwa mfano, mambo mbalimbali yanayofanyika shuleni, katika mabaraza, kamati, vyama vya wanafunzi, au katika makundi mengine yasiyo rasmi Kielekezi hiki kimeandaliwa na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, jinsia na watoto, kwa msaada wa kiutaalamu kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) kwa kushauriana na wadau mbalimbali wanaojishughulisha na masuala ya ushiriki wa watoto nchini.
...
Shukrani kwa Tanzania
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all