Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Wimbo wa Bata Bukini
na hadithi nyingine za wanyama zenye adili
Kimeandikwa na Hassan Adam
Mchapishaji Mkuki na Nyota
Mwaka 1992
sw
Kurasa 31
Kitabu hiki kina mkusanyiko wa hadithi za wanyama zenye kutoa mafundisho yenye adili. Ni kitabu kitakachowafaa watu wa rika zote, kuanzia vijana mpaka wazee. Ama kwa hakika kila atayeogelea kwenye hadithi ataburudika, atafarijika, atakosoleka na kadha wa kadha. Soma.
...
link: https://mkukinanyota.com/product/wimbo-wa-bata-bukini/
...
ISBN: 3921008077
Shukrani kwa Mkuki na Nyota
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.