You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Jongoo na Tandu
Kimeandikwa na Elieshi Lema
sw
Simulizi za Buibui ni mfululizo wa vitabu vya maarifa kwa watoto wa ngazi za chini. Mfululizo huu unahusu viumbe wadogo katika Maisha ya kila siku ya mtoto. Viumbe hawa wanaishi katika mazingira ya nyumbani yanayomzunguka mtoto. Madhumuni yake ni kujenga tabia za kisayansi kwa watoto tangu mapema. Vitabu vinalenga kuamsha na kuchochea udadisi. Pia, vinalenga tabia na ari ya uchunguzi katika mazingira.
...
link: https://vitabu.edvisionpublishing.co.tz/product/jongoo-na-tandu/ Children Swahili Titles
...
ISBN: 9789987735518
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all