Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Nyamanza Ndege wa Amani
Kimeandikwa na
Mchapishaji E & D Vision
Mwaka 1999
sw
Kurasa 16
Shile alivutiwa sana na jamii ya wanyama wa mwituni.Alipenda kuwasikiliza wakiongea na kucheka na kusimuliana hadithi.Kwani Shile alikuwa mtoto wa ajabu.Aliweza kuzungumza na wanyama na ndege.Aliweza kusikia sauti ndogo sana za vipepeo na sisimizi na hata majani madogo yanaporefuka ;Wanyama wakubwa walimpenda na wanyama wadogo pia.Hata Nyamaza,ndege wa Amani alimpenda Shile.Nyamaza aliwafurahisha viumbe wote mbugani kwa sauti ya nyimbo zake tamu.
...
Kimetafsiriwa na
Elieshi Lema
ISBN: 0521668921
Shukrani kwa E & D Vision
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.