You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Marimba ya Majaliwa
Mchapishaji E & D Vision Pub.
Mwaka 1996
sw
Kurasa 112
Je, umeshawahi kusafiri kwa kutumia ungo au fagio?Umeshapanda mgongoni mwa nguva au kutalii kwenye tumbo la nyangumi? Hivi ni baadhi ya visa alivyofanya Majaliwa akiwa katika safari yake kuzunguka Tanzania nzima akisaka marimba yake ya nyuzi ishirini. Alianzia Mafia,akaenda Zanzibar,Tanga,Moshi, Arusha,Iringa,Mwanza,Kigoma na miji mingine mingi. Na Kongoti,bingwa wa taifa wa Marimba akimchenga kila mara,huku akingangania marimba ya Majaliwa ili amzuie kushinda na ashinde yeye. Na bila marimba ya nyuzi ishirini,hakuna ushindi.Je,Majaliwa atamkamata Kongoti?Ungana na Majaliwa katika safari hii ya kusisimua,ukutane na Bibi yake anayeweza kuwa katika umbo lolote,jinsi anavyochenga n kuvisumbua vibwengo huko angani usiku wa manane wakiwa na Majaliwa na safari hii ya kusaka marimba yake. A novel.
...
link: https://vitabu.edvisionpublishing.co.tz/product/marimba-ya-majaliwa/
...
ISBN: 9987411487
Shukrani kwa E & D Vision Pub.
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all