Sauti za Vijana: Maoni ya vijana kuhusu elimu jumuishi
Kimeandikwa na Ingrid Lewis
Mchapishaji The Atlas Alliance
Mwaka 2008
sw
Kurasa 52
Kitabu hiki chenye picha, michoro na maoni ya vijana kinaonyesha juhudi za kufanya elimu jumuishi kupatikana kwa uhakika. Mambo yaliyozungumzwa na vijana yanajumuisha sera, mitazamo, tabia hadi ugawaji wa rasilimali na mazingira. Kitabu hiki kimenipa hamasa na changamoto ya kuwajibika pamoja kwa vitendo na watunga sera wa elimu, mameneja, viongozi, walimu, wazazi, wahudumu na wanafunzi katika kubadili mitizamo ya mahitaji ya kielimu kwa watoto wenye ulemavu na wasio na ulemavu.
...
This book accompanies a short film available online.
...
Kimetafsiriwa na
Evena Massae
Shukrani kwa The Atlas Alliance
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.