You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Utafiti wa Uwiano katika Lugha kwenye Tafiti za Sayansi ya Afya Barani Afrika
Published 2021
sw
Pages 33
Download
2.5 MB
Tafiti hii ina malengo mahususi matatu: 1. Kuchunguza ikiwa matumizi ya kiingereza katika mazingira ya Afrika ni kikwazo katika ukuaji na kufanikiwa kwa watafiti wa sayansi ya Afya katika ngazi za binafsi, kitaifa na kimataifa, na katika ukuaji wa sayansi ya Afya katika eneo zima la Afrika. 2. Kuchunguza ikiwa matumizi ya kiingereza katika mazingira ya Afrika, yanachangia katika kuletea uwiano usio sawa katika mfumo wa tafiti za sayansi ya afya. 3. Kutoa maoni ya mbinu thabiti za kukabiliana na changamoto zilizoainishwa. Katika kukamilisha utafiti huu mbinu tofauti zilitumika katika kukusanya taarifa. Kama vile mbinu ya mkabara wa kiubora (qualitative) na mbinu ya mkabara wa kiidadi (Quantitative) katika ukusanyaji wa taarifa.
...
Translated by
Ali Hassani Selemani
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all