You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Haki za Mwanamke kwa Mujibu wa Qur'an na Sunnah za Mtume (S.A.W.): Toleo Jepesi
Women Rights according to the Qur'an
Mchapishaji ZAFELA - Jumuiya ya Wanasheria Wanawake Zanzibar - Zanzibar Female Lawyers Association
Mwaka 2020
sw
Kurasa 24
Pakua
4.8 MB
Jumuiya ya Wanasheria Wanawake Zanzibar-ZAFELA imezindua kitabu cha haki za wanawake kwa mujibu wa quran na sunna za mtume Muhammad S.W.A. Uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa hoteli ya doble tree mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na wanasheria mbali mbali wanawake pamoja na wajumbe kutoka taasisi ya Konrad Adnawa Stiftung. Akitoa ufafanuzi wa kitabu hicho chenye jumla ya kurasa 68 juu ya haki ya uongozi na ushirikishwaji wa mwanamke pamoja na masuala ya kiuchumi, Mkurugenzi wa ZAFELA Jamila Mahmoud amesema kitabu hicho kimeangazia vyema maeneo hayo kwa mujibu wa muongozo wa dini.
...
Tazama habari juu yaUzinduzi wa kitabu hiki. wasiliana nasi. Tutashukuru sana.
...
ISBN: 9789976567458
Shukrani kwa Konrad-Adenauer-Stiftung, Jumuiya ya Wanasheria Wanawake Zanzibar-ZAFELA
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all