You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Haki za Mwanamke kwa Mujibu wa Qur'an na Sunnah za Mtume (S.A.W.): Toleo Jepesi
Women Rights according to the Qur'an
Publisher ZAFELA - Jumuiya ya Wanasheria Wanawake Zanzibar - Zanzibar Female Lawyers Association
Published 2020
sw
Pages 24
Download
4.8 MB
Jumuiya ya Wanasheria Wanawake Zanzibar-ZAFELA imezindua kitabu cha haki za wanawake kwa mujibu wa quran na sunna za mtume Muhammad S.W.A. Uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa hoteli ya doble tree mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na wanasheria mbali mbali wanawake pamoja na wajumbe kutoka taasisi ya Konrad Adnawa Stiftung. Akitoa ufafanuzi wa kitabu hicho chenye jumla ya kurasa 68 juu ya haki ya uongozi na ushirikishwaji wa mwanamke pamoja na masuala ya kiuchumi, Mkurugenzi wa ZAFELA Jamila Mahmoud amesema kitabu hicho kimeangazia vyema maeneo hayo kwa mujibu wa muongozo wa dini.
...
Tazama habari juu yaUzinduzi wa kitabu hiki. wasiliana nasi. Tutashukuru sana.
...
ISBN: 9789976567458
Thank you to Konrad-Adenauer-Stiftung, Jumuiya ya Wanasheria Wanawake Zanzibar-ZAFELA
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all