ONYO: utaona baadhi ya makosa ya lugha na herufi kutokana na umri wa kitabu. Kitabu hiki kilichapishwa kwa mara ya kwanza mwaka wa 1880. Hili ni toleo la pili lililochapishwa mwaka wa 1894. Nakala hii ilitunzwa Marekani katika maktaba ya Harvard University, kwa miaka mingi. Sasa imescaniwa na kuwekwa mtandaoni kwa ajili yenu.
Kitabu hiki kiliandikiwa na Mary Allen amabaye alikuwa mzungu mtaalamu wa lugha za Kiarabu na Kiswahili na mishanari wa kikristo. Aliandika vitabu vya Kiswahili kwa herufi za Kiarabu na za Kizungu, maana wakati huo Waunguja walitumia zote.
...
Shukrani kwa Archive.org
Kiungo cha Chanzo https://archive.org/details/masomomepesi00unkngoog
Tafuta
vitabu vya bure kuhusu Jifunze kiswahili
,
vitabu vya bure kuhusu Jifunze kusoma
au
vitabu vya bure kuhusu Watoto
Download free pdfs
eVitabu vya bure kwa somo
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana:
Browse all
No Books Found
Based on the filters you selected, there are currently no books.