You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Mjue Diwani
Mchapishaji Policy Forum
Mwaka 2014
sw
Ndugu msomaji, tunayo furaha kukuletea kitabu kipya kiitwacho “Mjue Diwani” ikiwa ni mwendelezo wa mkakati wetu wa Kikundi Kazi cha Tawala za Mitaa kutoka mtandao wa Policy Forum wa kuwaelimisha wananchi kuhusu utawala wa Serikali za Mitaa na kukuza uwajibikaji katika jamii. Madhumuni ya kitabu hiki ni kuwaelimisha wananchi kuhusu wajibu, majukumu mamlaka, na mipaka ya madiwani ili waweze kudai uwajibikaji kutoka kwa madiwani Kitabu hiki pia kitaweza kuwasaidia madiwani kutambua majukumu yao katika kuwatumikia wananchi. Kitabu hiki sio mwongozo wa Madiwani bali ni kitabu cha jamii ambacho kinaweza kumsaidia Diwani kujitambua na kuwasaidia wananchi kumfahamu Diwani. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo wa maswali na majibu, kwa lugha rahisi na katuni ili kumsaidia mwananchi kuelewa dhana mbalimbali zilizowekwa kwenye kitabu hiki.
...
ISBN: 978-9987-708-14-7
Shukrani kwa Policy Forum Tanzania
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all