You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Msingi wa Imani
Kimeandikwa na Carl F. Wisloff
Mchapishaji Scripture Mission, Nairobi
Mwaka 1990
sw
Kurasa 149
Kitabu hiki "Msingi wa Imani" kilichapishwa 1981 kwa jina "Namjua yeye nimwaminaye." Ni mafundisho mafupi juu ya imani yetu ya Kikristo. Kimetafsiriwa katika lugha kadhaa, na kimetumiwa katika vyuo vya theologia na katika shule za Biblia. Chafaa sana kwa wote wanaohubiri na wanaofundisha Neno la Mungu, na pia kwa kila Mkristo aliye na hamu ya kujengwa na kuimarishwa katika imani yake.
...
Carl Fr. Wisloff, Teol. D., alikuwa profesa wa Historia ya Kanisa katika chuo kitachoitwa The Free Faculty of Theology, Oslo, Norway, kwa miaka mingi. This book came to Elimu Yetu from the Estate of James Sharp. Thank you.
...
Shukrani kwa Scripture Mission, Nairobi
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Kimechangiwa na
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all