You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Ufundi Viatu
Vitabu Vya Ufundi 9: Daraja la III
Kimeandikwa na L. L. Ndumbaro
Mchapishaji Tanzania Publishing House
Mwaka 1977
sw
Kurasa 55
Kitabu hiki kinaeleza namna ya kutengeneza viatu; kuanzia upimaji na uchoraji vielelezo, ukataji wa ngozi na soli mpaka ushonaji wenyewe. Vyombo na vifaa vyote muhimu katika kazi ya ushonaji viatu vinatajwa na kuonyeshwa kwa michoro.
...
Mwandishi, Ndugu Ndumbaro, anafundisha Ufundi Vitau katika Chuo cha Taifa cha Mafunzo na Majaribio ya Ufundi, Chang'ombe, Dar es Salaam. Kitabu hiki kimtayarishwa mahusi kwa wanafunzi wa Daraja la III katika somo la ufundi viatu, pia kitawafaa wale wote wanaotaka kujifunza ujuzi huu.
...
Shukrani kwa Tanzania Publishing House
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all