Mwandishi, Ndugu Ndumbaro, anafundisha Ufundi Vitau katika Chuo cha Taifa cha Mafunzo na Majaribio ya Ufundi, Chang'ombe, Dar es Salaam. Kitabu hiki kimtayarishwa mahusi kwa wanafunzi wa Daraja la III katika somo la ufundi viatu, pia kitawafaa wale wote wanaotaka kujifunza ujuzi huu.
...