Enjoy thousands of free books, support non-profit programs or get tools to grow your non-profit
Michango mipya
157
vitabu
24
Wachangiaji
157
vitabu
24
Wachangiaji
Karibu kwenye Maktaba!
Jiunge au Ingie na jiungane na wasomi wa dunia!
Maktaba.org imeumbwa kuwawezesha watu kusoma vitabu vinavyoboresha maisha yao, vinavyokuza vipaji vyao, na vinavyowasaidia kutimiza makusudi yao.
Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara
- Soma mtandaoni na pakua vitabu
- Azima vitabu Arusha mjini
- Toa maoni na jadili vitabu
Karibuni sana wageni!
Kimandolu, Arusha, Tanzania
22 Tindigani Street, Kijenge Kaskazini, Kimandolu
PO Box 837, Arusha, Tanzania
www.elimuyetu.org
maktaba@elimuyetu.org
Kuhusu Elimu Yetu
Elimu Yetu ni muungano wa famlia wanaothamini elimu. Tunaelimishana kupitia vipaji, ufahamu, na mtazamo chanya, na tunakufikia popote ulipo. Pamoja na Maktaba, tunatoa elimu bila malipo kwa watoto, vijana na watu wazima kwenye kituo chetu, Kijenge, Arusha, Tanzania. Kwa kujifunza zaidi au kujiunga, karibuni sana tutembelee.
Kusoma kuna faida gani?
"Vitabu ni hazina ya akili na elimu. Hazina ya fedha, dhahabu na majohari hufunguliwa kwa funguo. Ufunguo wa kufungulia hazina za vitabu ni kusoma. Mtu yeyote awezaye kusoma huweza kuingia katika hazina hii akachukua akili na elimu nyingi kama awezavyo kuona."
- - Shaaban Robert, katika "Vitabu," Insha na Mashairi (1967)
- - James Baldwin, imetafsiriwa kutoka "The Doom and Glory of Knowing Who You Are," Life Magazine (1963)
- - Julius K. Nyerere, "Maana ya Elimu," (1975)
- - Emmanuel Mbogo, “Siri Za Maisha,” (2010)