You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

View this book in English Aesop's Fables for Children
Hadithi za Esopo (Aesop's Fables)
Chuo cha Kwanza cha Kusomea
Kimeandikwa na Aesop
Mwaka 1880
sw
Kurasa 184
Pakua 2.1 MB
Inaruhusiwa kunakili, kusambaza na kutafsiri bila malipo.
Hadithi hizi maarafu zilitungwa na Esopo, mtumwa wa Ugiriki wa Kale, takribani miaka 600 KK! Edward Steere alizitafsiri kwa kiswahili na kitabu hiki kilichapishwa mwaka 1880, Zanzibar. Kilikusudiwa kufundisha kusoma. Vizazi vingi katika nchi zote za dunia wamefurahi kusomeana visa hivi kuhusu wanyama, vinavyofundisha maadili, busara, and tabia bora kwa watoto hadi ya leo. Ufurahie kuvisoma na familia yako! Hadithi au Visa vya Esopo vinatokana na masimulizi ya Esopo, ambaye inaaminika kuwa alikuwa ni mtumwa wa Kiafrika aliyeishi kati ya mwaka 620 na 560 Kabla ya Kristo katika Ugiriki wa Zamani. Visa vyake hutumiwa kutoa mafunzo na kuburudisha. Visa hivi hutumiwa kwa wingi katika vitabu vya watoto na vikaragosi. Historia ya Esopo haijulikani vyema. Inaaminiwa kuwa alikuwa ni mtumwa aliyeachiliwa huru na baadaye alikuja kuuliwa na Wadeliphi. Baadhi ya wanazuoni wanaamini kuwa hakuna mtu aliyewahi kuishi katika historia aliyeitwa Esopo. Hadithi ziliandikwa na chapishwa mwaka 1880
...
Kitabu hiki hakina hakimiliki. Jisikie huru kushiriki na wenzako!
...
Kimetafsiriwa na
Edward Steere
Shukrani kwa Internet Archive
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all