You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Mshamba Fani Hivi
Riwaya ya Vijana
Published 2020
sw
Pages 176
Download
0.8 MB
Visa na mikasa ya Mapenzi, Usaliti, Utekaji, Siasa na Imani. ilisikika kwa mbali sauti nzuri za ndege pamoja na majogoo machache yakiwika japo kwa uchovu kwa sababu ya baridi na upepo mkali wa kiangazi. Giza nalo lilikuwa bado totoro na hapakuwa na mwanga wa aina yeyote nje. Hivi ilikuwa ni mishale ya saa kumi usiku kuelekea saa kumi na moja. Katika hali hiyo ilisikika pia sauti ya mguno na mahangaiko ya mwanamke mmoja aliyekuwa katika nyumba ndogo ya udongo yenye vyumba viwili iliyoezekwa kwa nyasi. Mwanamke huyu makamo mwenye umri wa miaka 44 aliyejulikana kwa jina la Wankembeta alikuwa mjamzito, na ukulele huu ulikuwa ni wa uchungu wa kujifungua. Mama huyu mjane alifiwa na mumewe miezi nane iliyopita alikuwa amejilaza kwenye kitanda chake cha Kamba pamoja na mdogo wake aliyeitwa Lumba....
...
Kitabu hiki kinasambazwa na Maktaba.org bila malipo kwa idhini ya Mwandishi Bro. Elihuruma Maruma. Tunamshukuru sana.
...
Thank you to Brother Elihuruma Maruma
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Donated by
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all