Mwongozo wa Utekelezaji wa Wakulima Wadogo wa Kahawa Africa
Kimeandikwa na Reiko Enemoto
Mchapishaji Rainforest Alliance
Mwaka 2011
sw
Kurasa 33
Pakua 5.2 MB
Kahawa ni mojawapo ya mazao muhimu katika [Mashariki na Kusini mwa] Afrika, na pia ni chanzo cha kipato kwa wakulima wengi wadogo. Pamoja na hayo, iwapo shughuli zisizo endelevu zikiachwa ziendelee, zitachafua mazingira, zitaharibu maji au udongo na kudhuru afya ya wafanyakazi. Kwa njia hii, uzalishaji wa kahawa hauwezi kudumu kwa muda mrefu. Yaliyomo: Utangulizi Sura ya 1: Mbinu Shirikishi za Uthibiti wa Wadudu [na Magonjwa] Sura ya 2: Taratibu Salama za kushughulika na madawa Sura ya 3: Hifadhi ya mfumo wa ekolojia Sura ya 4: Hifadhi ya maji Sura ya 5: Hifadhi ya udongo Sura ya 6: Usimamizi wa takataka Sura ya 7: Maisha bora na mazingira mazuri ya kazi Sura ya 8: Usimamizi wa shamba
...
Shukrani kwa Mkulima
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.