You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Agano la Kale - Habari Njema
sw
Download
4.7 MB
Neno Mwanzo linatokana na neno la Kiyunani genesis ambalo maana yake ni asili, chimbuko au chanzo,ambalo ndilo jina lililopewa kitabu hiki na watafsiri wa Agano la Kale la Kiyunani lijulikanalo kamaSeptuagint.katika karne ya tatu kabla ya Kristo. Ingawa kitabu hiki cha Mwanzo kinaanza kuelezea uumbaji wavitu vyote, mtazamo mkubwa ni uumbaji wa mwanadamu. Kitabu hiki kinaeleza mwanzo wa ulimwengu, mwanzowa mwanadamu, yaani, mwanamke na mwanamume, mwanzo wa dhambi ya mwanadamu, mwanzo wa ahadi namipango ya Mungu ya wokovu na uhusiano wa kipekee kati ya Abrahamu na Mungu. Kitabu kinaelezea juu yawatu mahsusi wa Mungu na mipango Yake katika maisha yao. Baadhi ya watu hawa ni Adamu naEva,wanadamu wa kwanza kabisa kuumbwa, Noa, Abrahamu, Isaki, Yakobo, Yosefu na ndugu zake na wenginewengi.
...
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all