Mwongozo kuhusu Ufugaji wa Ngamia
A Guide to Camel Keeping
Mchapishaji Heifer International
Mwaka 1996
sw
Pakua 20.9 MB
Ufugaji wa ngamia unafanywana watu wengi katika mataifambalimbali ulimwenguni kw ajili ya kujipatia maendeleo katika sehemu zilizo na ukame.Ngamia wamekuwa wakisaidia katika shughuli nyingi kama vile kubeba mizigo, kubeba watu kwa kupandwa mgongoni, kulima kwa kutumia jembe la kukokotwa linalovutwa pia na maksai.kuvuta mikokoteni na kutoa mazima na nyama kwa matumizi ya binaadamu. Nchini Tanzania ufugaji umeanza hivi karibuni tu na tena katika maeneo machache sana. Mwongozo huu ni muhimu na utamsaidia mfugaji kuelewa mambo mengi kuhusiana na ufugaji wa ngamia.
...
Shukrani kwa https://www.echocommunity.org/en/resources/708d42f6-47cd-464b-8fdf-811a11ba21a0
Kiungo cha Chanzo Echo Community
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.