You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Mwongozo kuhusu Ufugaji wa Ngamia
A Guide to Camel Keeping
Publisher Heifer International
Published 1996
sw
Download 20.9 MB
Ufugaji wa ngamia unafanywana watu wengi katika mataifambalimbali ulimwenguni kw ajili ya kujipatia maendeleo katika sehemu zilizo na ukame.Ngamia wamekuwa wakisaidia katika shughuli nyingi kama vile kubeba mizigo, kubeba watu kwa kupandwa mgongoni, kulima kwa kutumia jembe la kukokotwa linalovutwa pia na maksai.kuvuta mikokoteni na kutoa mazima na nyama kwa matumizi ya binaadamu. Nchini Tanzania ufugaji umeanza hivi karibuni tu na tena katika maeneo machache sana. Mwongozo huu ni muhimu na utamsaidia mfugaji kuelewa mambo mengi kuhusiana na ufugaji wa ngamia.
...
Thank you to https://www.echocommunity.org/en/resources/708d42f6-47cd-464b-8fdf-811a11ba21a0
Source: Echo Community
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all