Safari ya Anga za Juu
Kimeandikwa na Anthony Mwangi
Mchapishaji Sasa Sema Publ.
Mwaka 1997
sw
Kurasa 36
Wakiwa katika safari ya uvumbuzi kwenye Mlima Kenye, Wanasayansi watatu Wakenya wanakumbana na jiwe la ajabu. Uchunguzi wao unawapeleka mpaka katika anga za juu, safari hatari na ya kutia mashaka lakini inayosisimua pia. Kitabu hiki cha rangi cha vibonzo, kina mvuto wa kutia hamu kuu kwa wao watakaokisoma. Kitawasaidia pia wanafunzi kujifunza mengi juu ya anga za juu na kuchochea tamaa ya kujiendeleza katika masomo ya sayansi.
...
ISBN: 9966960929
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.