Safari ya Mzimuni
Kimeandikwa na Charles Mateso
Mchapishaji Readit Books
Mwaka 1998
Kurasa 30
Safari ya Mzimuni ni hadithi ya kusisimua ya watoto wawili. Sara na Chidi ni watoto wanaokwenda kuomba radhi Mzimuni ili nchi yao isiteketezwe. Ili kujua kwa nini nchi yao inataka kuteketezwa na matatizo na mikasa waliokumbaba nayo, soma hadithi hii.
...
ISBN: 9987210198
Create an account to...
View comments and discuss this book!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.