Kitabu hiki kimetayarishwa na Timu ya Femina Hip. Femina ni shirika la kiraia linalotumia vyombo mbalimbali vya habari kuwafikia vijana, likifanya kazi na vijana hao, jamii zao pamoja na wadau mbalimbali kote nchini Tanzania. Elimu kupitia burudani ndiyo njia tunayoitumia – tunaburudisha na humo humo tunaelimisha walengwa wetu kwa kutumia visa vya maisha ya kila siku na shuhuda za watu mbalimbali. Tunatoa nafasi kwa sauti za vijana kusikika kwa kupitia kazi zetu tofauti – majarida ambayo kutoka mara kwa mara, luninga, redio, mitandao ya kijamii, ujumbe mfupi wa simu pamoja na shughuli za nje ambazo hufanywa uso kwa uso kama vile matamasha.
...
Thank you to Femina Hip
Search for
free books about Self-reliance
,
free books about Entrepreneurship
or
free books about Women
Download free pdfs
Free books by category
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books:
Browse all
No Books Found
Based on the filters you selected, there are currently no books.