Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Kitabu hiki kimetayarishwa na Timu ya Femina Hip. Femina ni shirika la kiraia linalotumia vyombo mbalimbali vya habari kuwafikia vijana, likifanya kazi na vijana hao, jamii zao pamoja na wadau mbalimbali kote nchini Tanzania. Elimu kupitia burudani ndiyo njia tunayoitumia – tunaburudisha na humo humo tunaelimisha walengwa wetu kwa kutumia visa vya maisha ya kila siku na shuhuda za watu mbalimbali. Tunatoa nafasi kwa sauti za vijana kusikika kwa kupitia kazi zetu tofauti – majarida ambayo kutoka mara kwa mara, luninga, redio, mitandao ya kijamii, ujumbe mfupi wa simu pamoja na shughuli za nje ambazo hufanywa uso kwa uso kama vile matamasha.
...
Shukrani kwa Femina Hip
Tafuta
vitabu vya bure kuhusu Kujitegemea
,
vitabu vya bure kuhusu Ujasiriamali
au
vitabu vya bure kuhusu Wanawake
Download free pdfs
eVitabu vya bure kwa somo
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana:
Browse all
No Books Found
Based on the filters you selected, there are currently no books.