You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Mwongozo wa Taifa wa Kukinga na Kudhibiti Maambukizo katika Utoaji wa Huduma za Afya
Kiongozi cha Mfukoni kwa Watoa Huduma za Afya
Mchapishaji Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Tanzania - Ministry of Health and Social Welfare
sw
Pakua
7.9 MB
Maambukizo ni moja ya vyanzo vinavyoongoza katika kusababisha maradhi na vifo nchini Tanzania. Pia ni miongoni mwa vyanzo vitano vya vifo vya akina mama wakati wa uzazi. Kutibu maambukizo ni gharama kubwa na hata matibabu yakifanikiwa yanaweza kuacha madhara ya muda mrefu. Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ina wajibu wa kuhakikisha kwamba huduma za afya zinazotolewa ni bora na salama kwa watu wote. Kukinga maambukizo ni suala muhimu katika utoaji wa huduma bora za afya.
...
Shukrani kwa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Tanzania - Ministry of Health and Social Welfare
Create an account to...
View comments and discuss this book!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all