Mchapishaji Taasisi ya Elimu Tanzania
Mwalimu, ni muhimu kuelewa kuwa Elimu ya Awali inatolewa kwa watoto kwa lengo la kuwakuza kiakili, kimwili, kijamii na kihisia. Mtoto wa Elimu ya Awali anapaswa kujenga umahiri ambao atautumia katika maisha yake ya kila siku.
...