We sponsored the creation of 3 pickleball courts in Arusha, Tanzania
Donate Play pickleball Learn more
We also sponsor monthly tennis tournaments Learn more
You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Huduma ya Kwanza ya Usaidizi wa Kisaikolojia
Mwongozo kwa Wahudumu Walio Mashinani
Publisher World Vision Kenya
Published 2015
sw
Download 6.5 MB
Matukio mabaya yakitokea katika jamii zetu, nchi zetu na ulimwenguni, huwa tunataka kutoa usaidizi kwa waathiriwa. Mwongozo huu unashughulikia Huduma ya kwanza ya kiakili (kisaikolojia) ambayo inahusu usaidizi wa kiutu na kihalisia inayotolewa kwa binadamu wengine wanaopitia matukio ya hatari. Mwongozo huu umeandikiwa wasaidizi wa watu wanaopitia tukio la kufadhaisha sana. Mwongozo unaonyesha njia za kusaidia watu kwa kuheshimu utu wao, tamaduni na uwezo wao. Mbali na anwani yake, Mwongozo wa Huduma ya kwanza unashughulikia pia usaidizi wa kijamii na kisaikolojia. Yaliyomo: 1. Njia za kusaidia katika hali ya hatari - mbinu. 2. Majanga. 3. Huduma za dharura za kimatibabu. 4. Mabadiliko ya kisaikolojia. 5. Huduma ya kwanza - saikolojia. 6. Matatizo ya mfadhaiko, mshtuko wa kiakili. 7. Miongozo. This guide covers psychological first aid which involves humane, supportive and practical help to fellow human beings suffering serious crisis events. It is written for people in a position to help others who have experienced an extremely distressing event. It gives a framework for supporting people in ways that respect their dignity, culture and abilities. Endorsed by many international agencies, the guide reflects the emerging science and international consensus on how to support people in the immediate aftermath of extremely stressful events.
...
English original and other translations are available here: https://www.who.int/publications/i/item/9789241548205 Waandishi na Wahariri Leslie Snider (War Trauma Foundation, WTF), Mark van Ommeren (Shirika la Afya Duniani, WHO) na Alison Schafer (Shirika la Kimatifa la World Vision, WVI). Mwongozo umetafsiriwa na kuhaririwa kutoka kwa Kiingereza hadi Kiswahili kwa usimamizi na uongozi wa Dkt. Iribe Mwangi akishirikiana na Dkt. Evans Mbuthia wote kutoka Idara ya Kiswahili, Chuo Kikuu cha Nairobi. Msaidizi wa tafsiri amekuwa John Paul Warambo wa TWB-K. Mwelekeo wa kitaaluma kuhusu afya ya kiakili umetolewa na Lincoln Ndogoni na Dorothy Anjuri wa World Vision Kenya.
...
Translated by
Iribe Mwangi, Evans Mbuthia
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all